Hiii serikali ni ya kis......geeeeeeeee......tangu jana watu wasife.??? Timu za uokoz zinakaz gn....hii nchi kweli imewashinda ccm...kazi kuonyesha mavyombo yenu ya kivita huku dharula hamziwezi...R.I.P FILIKUNJOMBE saaad mara mwisho nilikuona mwezi august kanisani ukisimamia mtoto kipaimara Mungu akulaze pema peponi ..jirani...umemuacha mkeo sara na watoto bado wadogo jamanii