Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 211
- 34
Yaani CCM ni mufilisi kabisa, nilishasema lakini before......... Yaani huu ni ujuha, Viongozi waCCM wanatembea na misimu mikubwa mikubwa ya gharama ambayo definetely ina GPS wanapotea njia? Coordinates za vijiji vyote hivyo vya Igunga ziko kwenye mtandao. Lakini pia kama CCM wanatamba kila siku humu kwamba wanafanya kampeni nyumba kwa nyumba kwa nini basi kila mpiga kampeni wao asiende na simu yake eneo linakotakiwa kutua hiyo helkopta akarekodi coordinates wakamtumia Nchemba???? Ina matter of just one hour Vijiji vyote vitakuwa vimejulikana coordinates zake.
Hii imemuumbua Dr. Kafumu kwamba si lolote si chochote, hiyo elimu inamsaidia ni sasa kama anapanda helikopta inayoendeshwa kama baskeli "eti wanaongozwa na mtu anayeijua Igunga, pambaaaaaaaaffffffffff!!!!!!!!!!" Sasa hiyo midigrii yote ya nini kama anashindwa kuelewa hata mambo madogo kabisa kama haya!!!!!!!
Ukienda kwenye hiyo ramani hapa chini ukaizoom, you can get almost all mapped coordinates of that area.
Tatizo la Kuinga Mbona ya CHADEMA haipotei? nani mwenyeji zaidi Igunga aliyekaa miaka 15 na mwenye miezi kadhaa? siku zote maigizo ni maigizo tu, hata ungeweka waigizaji wazee kuigiza uzee huo huo bado yataonekana maigizo, CCM mnatakiwa kubuni stail nyingine ya kampeni,ya Helkopta waachieni CHADEMA, CUF walianza na Punda nikawaona very creative lakini nimeshangaa nao wamefuata maigizo hayo,hayo, naombea tu wasipotee wote angani wakagongana, ikawa taabu
Mungu Linda amani Igunga siku ya uchaguzi na baada
mi natamani ndege ya rais ipotee halafu isionekane tena....what a joy that will be!
Hilo ni Tatizo la CCM kukurupuka bila kujiadaaa wao wanafikiri helkopta tuu inatosha haitaji maandalizi haohao walibeza kwa CHADEMA kutumia Chopa sasa iweje kufuata mkumbo .Hivi karibuni katika bunge tulishuhudia Mh. Nahodha kufata mkumbo kutumia Ipad kusoma bajeti ambapo baadae iliishiwa charge na hatimae kurudi kwenye makaratasi baada ya Zitto kutumia Ipad.CCM mnapashwa kuelewa teknolojia mpya sio yenu.MUNGU IBARIKI TANZANIA.Yaani CCM ni mufilisi kabisa, nilishasema lakini before......... Yaani huu ni ujuha, Viongozi waCCM wanatembea na misimu mikubwa mikubwa ya gharama ambayo definetely ina GPS wanapotea njia? Coordinates za vijiji vyote hivyo vya Igunga ziko kwenye mtandao. Lakini pia kama CCM wanatamba kila siku humu kwamba wanafanya kampeni nyumba kwa nyumba kwa nini basi kila mpiga kampeni wao asiende na simu yake eneo linakotakiwa kutua hiyo helkopta akarekodi coordinates wakamtumia Nchemba???? Ina matter of just one hour Vijiji vyote vitakuwa vimejulikana coordinates zake.
Hii imemuumbua Dr. Kafumu kwamba si lolote si chochote, hiyo elimu inamsaidia ni sasa kama anapanda helikopta inayoendeshwa kama baskeli "eti wanaongozwa na mtu anayeijua Igunga, pambaaaaaaaaffffffffff!!!!!!!!!!" Sasa hiyo midigrii yote ya nini kama anashindwa kuelewa hata mambo madogo kabisa kama haya!!!!!!!
Ukienda kwenye hiyo ramani hapa chini ukaizoom, you can get almost all mapped coordinates of that area.
nimejichekea...manake ni ajabu rubani kuongozwa kwa vidole...anaambiwa tua paleee...hahaha..do! Magamba ful magumashi kwa kweli. My wish was wangekufilia mbali!
Hawa watu ni waongo........hawakupotea ila kilichotokea watu hawakujitokeza kila walipokuwa wakienda
Ndio wababe wa ccm kila mtu ni rubani.