Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 211
- 34
Yaani CCM ni mufilisi kabisa, nilishasema lakini before......... Yaani huu ni ujuha, Viongozi waCCM wanatembea na misimu mikubwa mikubwa ya gharama ambayo definetely ina GPS wanapotea njia? Coordinates za vijiji vyote hivyo vya Igunga ziko kwenye mtandao. Lakini pia kama CCM wanatamba kila siku humu kwamba wanafanya kampeni nyumba kwa nyumba kwa nini basi kila mpiga kampeni wao asiende na simu yake eneo linakotakiwa kutua hiyo helkopta akarekodi coordinates wakamtumia Nchemba???? Ina matter of just one hour Vijiji vyote vitakuwa vimejulikana coordinates zake.
Hii imemuumbua Dr. Kafumu kwamba si lolote si chochote, hiyo elimu inamsaidia ni sasa kama anapanda helikopta inayoendeshwa kama baskeli "eti wanaongozwa na mtu anayeijua Igunga, pambaaaaaaaaffffffffff!!!!!!!!!!" Sasa hiyo midigrii yote ya nini kama anashindwa kuelewa hata mambo madogo kabisa kama haya!!!!!!!
Ukienda kwenye hiyo ramani hapa chini ukaizoom, you can get almost all mapped coordinates of that area.
Mkuu hapo kwenye red ongeza kitanda kwa kitanda, mtu kwa mtu