Taarifa yako ni kwa mujibu wa nani??..tupe chanzohelicopter hizo ni za trainings tu.Hakuna mapinduzi mnaleta tafsiri ya hovyo.
Taarifa yako ni kwa mujibu wa nani??..tupe chanzohelicopter hizo ni za trainings tu.Hakuna mapinduzi mnaleta tafsiri ya hovyo.
Ikawe kwenye familia yake!helicopter hizo ni za trainings tu.Hakuna mapinduzi mnaleta tafsiri ya hovyo.
Munaogopa mapinduzi Wakati tupo ndani ya chama cha MAPINDUZIIkawe kwenye familia yake!
Labda siku za Yesu kurudi zimekaribiaHabari wanabodi,
Kwa kweli toka jana ni fujo angani helicopter kila muda kwa anaejua atujuze je zina nini ndani yake?
kwani mimi mwenyewe siwezi kuwa chanzo???umekariri maisha.Taarifa yako ni kwa mujibu wa nani??..tupe chanzo
Kuna kipindi nikiwa dar niliona msafara wa ndege kubwa zipo kama boing kama 10 hivi zina rangi kama ya kijivu kama za jeshi ila naamini zitakuwa za jeshi ila siyo la Tanzania! nilitaman kujua zimebeba nini
mkuu usinipasue bandama HIYO NI YA KUSIKIA USIOMBE IKUTOKEE.SITAMANI HATA KUSIKIA NILIYOYAONA 93-94Kuna tetesi Wanyarwanda wanataka kuleta yale mambo yao ya 90s.
Ndukiiiii![]()
![]()
![]()