Hela za TASAF si mali ya CCM

Hela za TASAF si mali ya CCM

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,293
Reaction score
283,239
Akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara huko Kigoma , Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amewaeleza wakazi wa Kigoma kwamba huu mpango wa ccm kuorodhesha kaya masikini ili kuzipatia Pesa za Tasaf , kwa kutumia kadi za chama cha mapinduzi ni wizi kama wizi mwingine na ni kinyume cha sheria .

Amesema hela za Tasaf ni mkopo ambao serikali inapewa ili kusaidia wasiojiweza , wala siyo chambo cha kuvutia masikini ili wajiunge na ccm , maana mkopo huu utalipwa na nchi yetu , wala hautalipwa na ccm .
======
Mytake
Ndio maana Twaweza walikuja na utafiti huu miaka ya nyuma , kwa vile wazee wengi na masikini wa vijijini wanaamini kwamba bila kadi ya ccm hupewi hela za Tasaf

IMG-20180405-WA0006.jpg




Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara huko Kigoma , Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amewaeleza wakazi wa Kigoma kwamba huu mpango wa ccm kuorodhesha kaya masikini ili kuzipatia Pesa za Tasaf , kwa kutumia kadi za chama cha mapinduzi ni wizi kama wizi mwingine na ni kinyume cha sheria .

Amesema hela za Tasaf ni mkopo ambao serikali inapewa ili kusaidia wasiojiweza , wala siyo chambo cha kuvutia masikini ili wajiunge na ccm , maana mkopo huu utalipwa na nchi yetu , wala hautalipwa na ccm .
======
Mytake
Ndio maana Twaweza walikuja na utafiti huu miaka ya nyuma , kwa vile wazee wengi na masikini wa vijijini wanaamini kwamba bila kadi ya ccm hupewi hela za Tasaf

View attachment 2626164



Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Utafiti huu: Ukiwa mwanachama wa CCM wewe ni jinga, kilaza, masikini, moumbavu, takataka
 
Akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara huko Kigoma , Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amewaeleza wakazi wa Kigoma kwamba huu mpango wa ccm kuorodhesha kaya masikini ili kuzipatia Pesa za Tasaf , kwa kutumia kadi za chama cha mapinduzi ni wizi kama wizi mwingine na ni kinyume cha sheria .

Amesema hela za Tasaf ni mkopo ambao serikali inapewa ili kusaidia wasiojiweza , wala siyo chambo cha kuvutia masikini ili wajiunge na ccm , maana mkopo huu utalipwa na nchi yetu , wala hautalipwa na ccm .
======
Mytake
Ndio maana Twaweza walikuja na utafiti huu miaka ya nyuma , kwa vile wazee wengi na masikini wa vijijini wanaamini kwamba bila kadi ya ccm hupewi hela za Tasaf

View attachment 2626164



Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hela za TASAF zitaendelea kuwa mali ya CCM hadi itakapoondoka madarakani.

Kura yako ndo pekee si mali yao hivyo wanatumia dola kuipora hiyo kura
 
Kila siku ni kujifunza kwa atakaye....

Hivi umefikiria zile kaya zenye mwamko mdogo kujiunga TASAF?!!!

Mwako mdogo kutokana na kukosa elimu(ikiwemo ya TASAF)....

Mwako mdogo kutotaka tu kujiunga na TASAF....na sababu nyinginezo....

Kutokana na hilo unadhani hawatotokea WATU kutaka kuutumia MFUKO kwa njia za rushwa/ushawishi wa kisiasa huku mitaani ?!!!!

Sibishi kuwa anaweza kutokea mwanaCCM kwa nafasi yoyote akatumia MBINU za kuwarubuni wenye mazingira magumu ili tu apate kura kuanzia ngazi ya serikali ya mtaa.....kwa nukta hii napingana na mawazo ya mh.Lissu kusema kuwa ni sera ya CCM...sera rasmi....atupe ushahidi huo kuwa CCM kwa umoja wao wameamua kutumia mbinu hiyo......

RBC hivi umeshawahi kusikia kuwa karibu na uchaguzi baadhi ya "wagombea" ngazi ya KURA ZA MAONI NDANI YA CHAMA/VYAMA huwa "wanachapisha"...wanawanunulia kadi "wapenzi wa hivyo vyama"?!!!!! Unadhani lengo ni nini ?!!!
Ni maslahi jumuishi ya chama ama mwanachama binafsi ?!!!
Je huwa chama kinawatuma kuyafanya hayo?!!!!

#SiempreJMT[emoji120]
 
Back
Top Bottom