miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,979
mkuu wewe unaweza lipia nyumba akae mwanaume mwenzio? any way ngoja niingie huko nionesasa solution ni kumnyang'anya mama mtoto au kuwashauri waishi nyumba kubwa zaidi kwa ajili ya privacy? mtoto si nguo ni binadamu. hekima na busara zinatakiwa kutumika badala ya mihemko. hapo mtoto anaishi na mama aliyemzoea, tatizo nyumba ndogo hakuna usiri. huko mkoani ataenda kuishi na baba mzazi lakini mgeni na mama mlezi mgeni. hawa wazazi wajishushe wakae wajadili hatma ya mtoto badala ya kukomoana.
Aliemzalisha mwanamke asiye mstaarabu ndiye si mstaarabu.Mchukue Mwanao kaishi nae mwenyewe
Huyo mwanamke si mstaarabu kabisa
ngoja huyo baba wa kufikia amuharibuAcha ubwege bhana,miaka 7 si umchukue mwanao?
Akili hana huyu jamaa unalia lia tu Chukua mtoto wake ondokaMchukue mwanao sabb ashafikisha miaka 7 uyo
Fanya hivyo aisee maana ukiacha hali iendelee utachanganyikiwaWanipe huyo mtoto ninaishi nae, kama hawataki basi
Sio wivu, yaani mm nimlishe baba mzima!!
Nimejikuta nimecheka....linatia hasiraLilipe kodi lenyewe....Chukua mwanao
mtoto amefika miaka saba kwa hiyo anaweza kumchukua , kabla ya hapo isingewekana kwa kuwa umri ulikuwa hauruhusu kufanya hivyohujakosea sana sema unaingiza hisia kwenye mambo yanayohitaji mantiki. mzazi mwenzio ana haki ya kuwa na mwanaume mwingine kama ambavyo na wewe una mwanamke mwingine. kwa hiyo mtoto amepata baba mlezi. huyo jamaa si alimsindikiza mpenzi wake jamani? mambo ya mpenziwe ni yake. Halafu ni baba mlezi, tatizo kitonga. haya yaliyotokea ni matokeo tarajiwa kabisa pale wazazi halisi wanapotengana wakiwa bado vijana. tatizo pekee ninaloona ni kwamba mama mzazi na baba mlezi ni watu wasiojituma.
kwamba wanalalaje humo ndani wanajua wenyewe, labda wanafanzana mchana mtoto akiwa shule. kuanza kushughulika na adabu ya mama saa hizi sijui kama utaweza maana huna ushahidi. na wewe kwa nini uliwapangishia nyumba ya chumba kimoja? mama alitakiwa kuwa na chumba chake, na mtoto chumba chake. mambo ya mama kubadilisha nguo huku katoto kanajidai kamelala kumbe kanachungulia si mazuri kwa hiyo madhara ya chumba kimoja si kukiwa na mwanaume tu. ningekuwa mi ndo wewe labda ningepunguza matumizi kama kodi ya nyumba na chakula. huna mamlaka ya kusema huyo njemba aondoke.
ukisema uchukue mtoto utuambie ni kwa nini hukumchukua toka siku nyingi ilihali ulijua mama yake hana uwezo wa kumlea, au ulifikiri huyo mwanamke ataishi kiseja mpaka mtoto afike chuo kikuu?? na umejiandaaje wewe na mke wako kumlea huyo mtoto? muache mama aishi maisha yake. wanaume wengi mkizaa kabla hamjaoa huwa hamtaki wazazi wenzenu wawe na mahusiano wakati tayari mmewaacha. hata ikitokea wanaolewa bado mnaleta shida..ooh sitaki mtoto wangu aishi na baba mwingine!! Na mama naye hataki mtoto aishi na mama mwingine. kwa hiyo unaskia wengine wana-resolve kupeleka watoto boarding ili wakose wote! Ukweli ni kwamba hata huyo mwanamke angehamia kwa huyo mwanaume bado ungekasirika. Jifunze kuishi na matokeo ya makosa yako. rekebisheni tu hapo kwenye matumizi.
Na je hilo analoita dude (Baba wa Kambo) hawezi kumtesa mtoto? Hiyo ni female chauvinismAteswe na mkeo kwani wewe haupo?
Na utaruhusu mwanao ateswe na mkeo?
Come on dude!
huyu dada anataka kumgeuza mtoto kitega uchumi, hao ustawi hawana maanasasa solution ni kumnyang'anya mama mtoto au kuwashauri waishi nyumba kubwa zaidi kwa ajili ya privacy? mtoto si nguo ni binadamu. hekima na busara zinatakiwa kutumika badala ya mihemko. hapo mtoto anaishi na mama aliyemzoea, tatizo nyumba ndogo hakuna usiri. huko mkoani ataenda kuishi na baba mzazi lakini mgeni na mama mlezi mgeni. hawa wazazi wajishushe wakae wajadili hatma ya mtoto badala ya kukomoana.
mimi nilihoji suluhisho lako kuwa mama anyang'anywe mtoto kwa sababu tu anakaa na mwanaume kwenye nyumba inayolipiwa na baba mtoto. suluhisho si kumnyang'anya mama mtoto bali kukubaliana juu ya gharama za nyumba na chakula. ukiingia ndo utajua inaumaje kunyang'anywa mtoto uliyemlea mwenyewe toka umemzaa kwa sababu tu umepata mwanaume mwingine.mkuu wewe unaweza lipia nyumba akae mwanaume mwenzio? any way ngoja niingie huko nione