Hela za matibabu ya Sajuki zaibiwa

Hii CHANGAMOTO mpya kwa watu wa Tume ya mawasiliano yaani TCRA. Wafanyie kazi mambo haya ambayo sanasana ni matokeo ya kukua kwa technology. Ukweli ni kuwa watu wengi sana wanatumia hizi huduma za MPESA, TIGO PESA na nyinginezo. Wananchi tunapaswa kuhakikishiwa usalama wa mali zetu maana kuna watu wengine wanatunza huko hela zao. Huko vijijini watu wanatunza hela nyingi sana. Tusaidieni jamani.
 
Ndio mjifunze faida za kuwa account bank
Zaidi ya laki nane zimehamishwa toka kwenye account ya pesa kwenye simu ya mke wake na mtu asiyefahamika, Mara ya kwanza ziliamishwa laki 4 kwenye simu yake na sasa tena wamehamisha zaidi ya laki 4. Hela hizo ni michango ya wasamalia wema wanayotuma kwa ajir ya kumpeleka mume wake (sajuki) kwenda india kwa ajiri ya matibabu. Hadi sasa haijafahamika nani anahamisha hela hizo. My take:
hizi tigo pesa, m-pesa siyo za kuziamin sana!
Source: twitter-millard hayo
 
Maybe hakuna sababu ya kutumia m-pesa and the like. CRDB mobile banking inahusika na airtel money na mpesa, better wachangiaji waweke kwenye account. I never use hizo service za simu!
Mpesa et al ni nzuri kwa kutumiana hela ndogo ndogo ambazo hazizidi laki maana bado suala la security ni dogo sana! Hela nyingi kama hzo better use bank
 
kama wakishindwa kumpata mwizi basi hakuna haja ya kutumia hii mitandao sijui tu=igo pesa sijui nini tungoje hadi tuelimike kwani sioni ugumu wa kumkamata mwizi hapo
 
kwa hiyo hata vile vijisenti vya nilivyo vituma wamelwapua ama kweli binadamu hatuna huruma tena..
 
inahtajika kampuni husika ilipe hzo pesa kulinda heshma. kwan inaonyesha haina security. sajuk na mjewe wanatakiwa waishtaki kampun husika
 
Jamani mbona hiki ni kichekesho! Ina maana hii mitandao hawana record za electronic money transfer? Mbona tukituma hela kwa M-Pesa tunapewa jina la mpokeaji na reference number. Kama hizi data hazipatikani, it means THIS IS AN INSIDE JOB! Namaanisha wafanyakazi wa mtandao husika.
Nijuavyo mimi ili uhamishe fedha katika akaunti ya M-Pesa au yoyote ingine pamoja na mambo mengine,lazima mambo ya msingi mawili yawepo, na rekodi yake inapatikana mteja akiitaka.
1. Laini ya simu iliyosajiliwa yenye fedha
2. Password
Mtu hawezi kutumia laini tofauti ya simu kuhamisha fedha kutoka kwenye laini nyingine. Vyoyote vile mwizi ama katumia simu yake huyu mama, au Watu wa mtandao "wamekwiba" wenyewe! au aliyezituma ameamua kubatilisha muamala na hivyo hizo fedha zimemrudia aliyezituma! Taarifa hizi zote zinapatikana makao makuu ya mitandao mteja akiamua kujua.
 
Zaidi ya laki nane zimehamishwa toka kwenye account ya pesa kwenye simu ya mke wake na mtu asiyefahamika, Mara ya kwanza ziliamishwa laki 4 kwenye simu yake na sasa tena wamehamisha zaidi ya laki 4. Hela hizo ni michango ya wasamalia wema wanayotuma kwa ajir ya kumpeleka mume wake (sajuki) kwenda india kwa ajiri ya matibabu. Hadi sasa haijafahamika nani anahamisha hela hizo. My take:
hizi tigo pesa, m-pesa siyo za kuziamin sana!
Source: twitter-millard hayo

Mwenyewe siziamini kwani naona usalama wa fedha ni rahisi sana kupotea
 
Usikurupuke kupost.. Tulia bwana, weka habari sawa ieleweke.. We vipi, unajiita CPA halafu unaweka habari isiyokuwa na mwanzo wala mwisho, hata katikati haina.. No contents at all!

Jipange dada/kaka.

ila habari si umeipata na kuelewa? vingine mbwembwe tuuu!
 
inahtajika kampuni husika ilipe hzo pesa kulinda heshma. kwan inaonyesha haina security. sajuk na mjewe wanatakiwa waishtaki kampun husika
Kuishtaki itakuwa ngumu kwasbb hakuna mkataba wowote unahusu transaction za hela kati ya mtumiaji wa simu na kampuni kama ilivyo wakati wa kufungua bank account!
 
Maybe hakuna sababu ya kutumia m-pesa and the like. CRDB mobile banking inahusika na airtel money na mpesa, better wachangiaji waweke kwenye account. I never use hizo service za simu!

yaani binadamu wengine wana roho ku2 sana jamani, huyo mdada wa wa2 anavyopitia majaribu makali bado wanamuongezea misukosuko.....
 
Usikurupuke kupost.. Tulia bwana, weka habari sawa ieleweke.. We vipi, unajiita CPA halafu unaweka habari isiyokuwa na mwanzo wala mwisho, hata katikati haina.. No contents at all!

Jipange dada/kaka.
Ninaku'suspect.
 
Ndio mjifunze faida za kuwa account bank

usiseme acount za benk, nako tunaibiwa kupitia ATM. Juzi baada ya kupata sms ya kuingia mshahara wangu kwenye account. Nilienda kuchukua hela, lakini baada ya ku,komand ATM initolee kiasi nachotaka, ATM haikujoa na nilipo chek salio nikakuta hela pungufu. Niliueleza uongozi wa benk, tukatoa benk statement ndipo tukabaini kua hela sh laki 3 zilitoka jana yake. Benk hajazirejesha hadi leo. Japokua wamekiri kua huo ni wizi ulitokea.
 
Zaidi ya laki nane zimehamishwa toka kwenye account ya pesa kwenye simu ya mke wake na mtu asiyefahamika, Mara ya kwanza ziliamishwa laki 4 kwenye simu yake na sasa tena wamehamisha zaidi ya laki 4. Hela hizo ni michango ya wasamalia wema wanayotuma kwa ajir ya kumpeleka mume wake (sajuki) kwenda india kwa ajiri ya matibabu.

Siku zote "kikulacho kinguoni mwako". Wahusika ktk hilo zoezi la ukusanyaji michango hiyo wanahusika kwa takribani 99.99%!
 
Wastara ambae ni Mke wa mwigizaji wa movie za kitanzania SAJUKI akiwa mgonjwa sasa hivi, amethibitisha kwamba pesa zisizopungua laki nane za kitanzania zimeibiwa kwenye account yake ya simu ya mkononi aliyokua anaitumia kupokelea pesa za msaada wa watanzania

Hii ni changamoto kwa mitandao yetu ya Tigo, Voda, Airtel,Zantel na nk
 
Hii CHANGAMOTO mpya kwa watu wa Tume ya mawasiliano yaani TCRA. Wafanyie kazi mambo haya ambayo sanasana ni matokeo ya kukua kwa technology. Ukweli ni kuwa watu wengi sana wanatumia hizi huduma za MPESA, TIGO PESA na nyinginezo. Wananchi tunapaswa kuhakikishiwa usalama wa mali zetu maana kuna watu wengine wanatunza huko hela zao. Huko vijijini watu wanatunza hela nyingi sana. Tusaidieni jamani.

hilo ndio swala la msingi! Lakini kuwazuhia watu kutumia huduma hizo sio rahisi!
 
Back
Top Bottom