kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
- Thread starter
- #41
Hasara utakayoipata wewe shabiki wa kawaida uliyekuwa umezoea kuingia uwanjani kiujanjaujanja, kununua jezi zilizotandazwa chini kwa 2000, uliyezoea kuaona Ndanda lazima ifungwe na Simba, uliyezoea kusikiliza mechi za Simba kwenye redio, uliyekuwa umezoea kupata ticket kwa njia za ajabuajabu, uliyekuwa unaendesha maisha yako kwenye mgongo wa Simba (majengo ya klabu, mabaunza, wauza vifaa feki vya Simba) sasa hivi ndiyo mwisho wenu. Viongozi walikuwa wanaongelea yale mazuri tu ya mfumo huu lakini hawakuwaambia mashabiki nini wategemee kutoka kwenye mfumo huu mpya wa uendeshaji mpira ambao wacheza kamali na watafuta faida ni kikwazo kikubwa kwa furaha za mashabiki.Sema waswahili tunagubu sana,hivi mo kuchukua timu ama kutochukua sisi mashabiki tunafaidika na ama tuna hasara na nini!?unakuta shabiki wa yanga anabeza mabadiliko kisa tu yamefanywa na simba muulize yeye ni kitu gani anafaidi huko yanga,atakwambia ubingwa Mara tatu!!!so what!?ubingwa unakusaidia nini kama msimu tu unaofaata baada ya ubingwa wako unashindwa hata kuwalipa mishahara wachezaji!!simba imeshakuwa kampuni that's all