Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,010
- 12,491
Binti alitoweka kijijni kwao akarejea baada ya miaka 3
Baba; We mtoto ulipotelea wap?
Bint: Nlikua nafanya kazi ya UMALAYA Marekan!
Baba; Mshenzi, umetutia aibu, toka na usikanyage tena hapa.
Bint: Sawa baba kabla sijaondoka, nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini na milion 75 nimewawekea benk, gari nilokuja nalo ni la kwako!
Baba; ulisema unafanya kazi gani? Bint; UMALAYA
Baba; Aahaa, nilidhani UYAYA!
Karibu ndani mwanangu hongera kwa ubunifu safari hii uende na mamaako.
Baba; We mtoto ulipotelea wap?
Bint: Nlikua nafanya kazi ya UMALAYA Marekan!
Baba; Mshenzi, umetutia aibu, toka na usikanyage tena hapa.
Bint: Sawa baba kabla sijaondoka, nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini na milion 75 nimewawekea benk, gari nilokuja nalo ni la kwako!
Baba; ulisema unafanya kazi gani? Bint; UMALAYA
Baba; Aahaa, nilidhani UYAYA!
Karibu ndani mwanangu hongera kwa ubunifu safari hii uende na mamaako.