Hela! We acha tu

Shin Lim

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
7,004
12,473
Binti alitoweka kijijni kwao akarejea baada ya miaka 3

Baba; We mtoto ulipotelea wap?
Bint: Nlikua nafanya kazi ya UMALAYA Marekan!

Baba; Mshenzi, umetutia aibu, toka na usikanyage tena hapa.
Bint: Sawa baba kabla sijaondoka, nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini na milion 75 nimewawekea benk, gari nilokuja nalo ni la kwako!

Baba; ulisema unafanya kazi gani? Bint; UMALAYA

Baba; Aahaa, nilidhani UYAYA!
Karibu ndani mwanangu hongera kwa ubunifu safari hii uende na mamaako.
 
Binti alitoweka kijijni kwao akarejea baada ya miaka 3

Baba; We mtoto ulipotelea wap?
Bint: Nlikua nafanya kazi ya UMALAYA Marekan!

Baba; Mshenzi, umetutia aibu, toka na usikanyage tena hapa.
Bint: Sawa baba kabla sijaondoka, nimewanunulia nyumba ya kisasa mjini na milion 75 nimewawekea benk, gari nilokuja nalo ni la kwako!

Baba; ulisema unafanya kazi gani? Bint; UMALAYA

Baba; Aahaa, nilidhani UYAYA!
Karibu ndani mwanangu hongera kwa ubunifu safari hii uende na mamaako.

Duuuuu!pesa kwel hatari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom