Onyix
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 682
- 793
Kuna jamaa angu yupo nchi flan hv nilikua napiga nae story kwenye mtandao..
"Najua labda anaweza akawa humu jukwaani" Jamaa ni msomi msomi sasa amepata Issue kwa upande wake anasema ni 'Dili'.. Dili lenyewe lipo hivi..
Jamaa amekutana na watu huko nchi zenye baridi kali mpaka barafu inaanguka kama upo kwenye Freezer.
Sasa dili lenyewe ni kwamba achague part ya nje Kiungo chake cha mwili jamaa waifanyie utafiti wa kisayansi wa magonjwa na wamehaidi wanampa hela ndefuuuuuu
Ile akubali dili wazungu huwa hawafichi kitu.. Wamempa makaratasi ya kusoma ili awe aware na issue ilivyo yani Mwanzo mwisho.. Ila in short ni kwamba atapandikiziwa kitu kwenye ngozi hicho kitu kita vimba kama "JIPU" dogo tu kama Inch 1 au CM 2 hivi then watalitibu kwa kuiweka hyo dawa ambayo itakua tested sasa kwenye hilo dude mfano wa "JIPU" then wataona reactions both positive and Negative.. Lastly watalitumbua
in Magufuri's voice
SWALI SASA
ANAULIZA NI SEHEMU GANI YA MWILI ANAWEZA KUFANYA HUO UPUUZI ILI APATE HELA YA KUJA KUENDELEZA NCHI YA VIWANDA KWA PESA NA JIPU.. SWALI HILO WAKUU
Procedures zote zimefuatwa kwaiyo msilete mambo yenu ya kisheria humu.. Hapo ni Jibu Tu.
"Najua labda anaweza akawa humu jukwaani" Jamaa ni msomi msomi sasa amepata Issue kwa upande wake anasema ni 'Dili'.. Dili lenyewe lipo hivi..
Jamaa amekutana na watu huko nchi zenye baridi kali mpaka barafu inaanguka kama upo kwenye Freezer.
Sasa dili lenyewe ni kwamba achague part ya nje Kiungo chake cha mwili jamaa waifanyie utafiti wa kisayansi wa magonjwa na wamehaidi wanampa hela ndefuuuuuu
Ile akubali dili wazungu huwa hawafichi kitu.. Wamempa makaratasi ya kusoma ili awe aware na issue ilivyo yani Mwanzo mwisho.. Ila in short ni kwamba atapandikiziwa kitu kwenye ngozi hicho kitu kita vimba kama "JIPU" dogo tu kama Inch 1 au CM 2 hivi then watalitibu kwa kuiweka hyo dawa ambayo itakua tested sasa kwenye hilo dude mfano wa "JIPU" then wataona reactions both positive and Negative.. Lastly watalitumbua

in Magufuri's voice
SWALI SASA
ANAULIZA NI SEHEMU GANI YA MWILI ANAWEZA KUFANYA HUO UPUUZI ILI APATE HELA YA KUJA KUENDELEZA NCHI YA VIWANDA KWA PESA NA JIPU.. SWALI HILO WAKUU
Procedures zote zimefuatwa kwaiyo msilete mambo yenu ya kisheria humu.. Hapo ni Jibu Tu.