Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,917
- 31,770
Wewe unaeanza sasa hv naomba nianze kujongea eneo husika
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]njoo taratibu kwa madaha
Wewe unaeanza sasa hv naomba nianze kujongea eneo husika
Wadada wanaopikaga hivi huwa ni wagomvi halafu wanapenda rigi.
Weka ufundi wako wote mdada, wenyewe wanasema cooking is an art.
Wabarikiwe wataokula chakula chako.
Twasubiria picha.
Nmeona baada ya kuonjeshwa zile chocolate kipindi umetokea kuzipenda 😊😊 unazifata mwenyeweKaribuuuu 🥂🥂
Nimefata harufu ya pilau..😋Kivirugeeee umeibuka kutokea wapiii.....😜
Eeeh kumbe kiberengee 😅😅
😥Hujapikiwa...!!???😜
Huyu ndo mwenyewe sasa , baadae lazma upandishe uzi mwingine baada ya kushibishwaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Acha hizoooo
Kinywaji kinagoma kupanda kwenye uzi, ngoja nijaribu tena...
View attachment 2057180
Kuyaa na bilauri...🥂🥂
Haiwezekqni napinga....ushafanyiwaaa vizuri na vinono mbona keyboard itaongeaaa.,just waitNajizuia sana siku hizi ...😅😅😅
Do me a favor.. ask me which one..😷😷😷
Karibu Mbagala Kiberengee...
Hapo sawaAahahahahahhaaaa
Sikubishii wala sikubaliani na wewe....