idaz
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 1,099
- 982
Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kunfikisha Arusha salama,pia niweke wazi tu,hili sio tangazo la biashara ila ni experince yangu leo nilipopanda hili bus.
Mi ni msafiri wa mikoani mara nyingi sana, na huwa nikisafiri nakuwa na bus specific ambalo hupanda, pia lodge sipendi sana kubadilisha badilisha.
Mi ni mteja naweza sema regular wa KLM, basing on qualities ambazo nadhani ni za juu kuliko mabus mengi ya kwenda kaskazini. Kuna siku nilikosa nafasi KLM ilabidi nipande BM linaloenda Arusha pia, kwa kweli nilivutiwa nalo sana, kwa kujali muda ma nilifika Moshi mapema sana, so ikawa ni mteja wa both KLM na BM kulingana na uharaka na uhitaji wangu.
Leo nimefika kituoni nipande Bm, naona jamaa kapiga sim naona kaambiwa limejaa,akaniambia niende na Kidia one lililokuwa lina nafasi, sikuwa na choice. Lilipokuja, kweli ni jipya na zuri sana, nikafurahi.
Niliamka na dalili za koromeo kuwasha na kuwa kavu,nikawa nimeshapata maji moto home but nikawa naomba Mungu nifike Arusha au Ms mapema ili niweze nunua zile dawa pendekezwa,ukizingatia AC inapuliza kweeli, lazima uingie uwoga. Mungu alivyo mwema, jamaa anatangaza kati ya huduma wanazotoa kwenye bus ni pamoja na vimiminika vya moto kama kahawa, chai na tangawizi, yaani!
Nilimshkuru Mungu na nikawa nasubir huduma ianze,kweli nimepiga tangawizi moto za kutosha, na konda yule kijana nilimwambia tu ukweli siko poa so anifanyie wepesi, basi kwa weled wake alinielewa na ikawa nikumuomba tangawizi ananiletea.
Mara ya mwisho kuomba ni pale Same, aliniambia hii mashine ni ya kuwasha na kuzima so ngoja nikaiwashe, nikaona nakuwa kero mathalani nshakaribia ms, nawiwa kutoa heko kwa huu ubunifu unaoendana na hali ya sasa, wengine pia waige mfano huu.
Mi ni msafiri wa mikoani mara nyingi sana, na huwa nikisafiri nakuwa na bus specific ambalo hupanda, pia lodge sipendi sana kubadilisha badilisha.
Mi ni mteja naweza sema regular wa KLM, basing on qualities ambazo nadhani ni za juu kuliko mabus mengi ya kwenda kaskazini. Kuna siku nilikosa nafasi KLM ilabidi nipande BM linaloenda Arusha pia, kwa kweli nilivutiwa nalo sana, kwa kujali muda ma nilifika Moshi mapema sana, so ikawa ni mteja wa both KLM na BM kulingana na uharaka na uhitaji wangu.
Leo nimefika kituoni nipande Bm, naona jamaa kapiga sim naona kaambiwa limejaa,akaniambia niende na Kidia one lililokuwa lina nafasi, sikuwa na choice. Lilipokuja, kweli ni jipya na zuri sana, nikafurahi.
Niliamka na dalili za koromeo kuwasha na kuwa kavu,nikawa nimeshapata maji moto home but nikawa naomba Mungu nifike Arusha au Ms mapema ili niweze nunua zile dawa pendekezwa,ukizingatia AC inapuliza kweeli, lazima uingie uwoga. Mungu alivyo mwema, jamaa anatangaza kati ya huduma wanazotoa kwenye bus ni pamoja na vimiminika vya moto kama kahawa, chai na tangawizi, yaani!
Nilimshkuru Mungu na nikawa nasubir huduma ianze,kweli nimepiga tangawizi moto za kutosha, na konda yule kijana nilimwambia tu ukweli siko poa so anifanyie wepesi, basi kwa weled wake alinielewa na ikawa nikumuomba tangawizi ananiletea.
Mara ya mwisho kuomba ni pale Same, aliniambia hii mashine ni ya kuwasha na kuzima so ngoja nikaiwashe, nikaona nakuwa kero mathalani nshakaribia ms, nawiwa kutoa heko kwa huu ubunifu unaoendana na hali ya sasa, wengine pia waige mfano huu.