Hekalu la Spika wa Tz

Hii kitu nimeitoa blog ya michuzi, Nyumba ya serikali ambayo atakuwa anaishi spika aliyeko madarakani. Imejengwa kwa Tsh. 1.5 billion ipo Dodoma.









Duh, ama kweli serikali haina pesa.
 
natumaini hawatauziana kama walivvyofanya awamu iliyopita.....
 
halafu ndo anatuambia eti,"ASILIMIA 75 YA WABUNGE WAMENIFUATA WANASEMA MAMA TUMECHOKA TUNATAKA KUACHA UBUNGE...".Hivi akiambiwa athibitishe usemi wake ataweza?nani hapendi kuishi mahali kama hapo?
 
Afu eti anatuambia anajuta kuwa mbunge na anatamani kuacha ubunge ni umaskini.,yaani huyu alitakiwa ajengewe nyumba ya tope iliyoezekwa tembe ili ajue maana ya umaskini sawasawa.
 
Kitu cha 1.5BILLION.
CAG unaweza enda fanya tathmini ya value for money!
Ingawa nowdays CAG nimepunguza % za kukuamini!
 
hiyo nyumba naijua ilipo tangia ya jengwa.....imejificha sana....huwezi kuiona kirahisi
 
Mhhhhhhh...HEKALU!!!!????? Haya mkuu Nimeliona nakatiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…