Mpagama Senior Member Joined Jan 9, 2011 Posts 127 Reaction score 7 Feb 7, 2011 #1 Picha hii inatoa ujumbe gani? Attachments 06.jpg 70.4 KB · Views: 687
hashycool JF-Expert Member Joined Oct 2, 2010 Posts 6,555 Reaction score 2,841 Feb 7, 2011 #2 YA KUCHONGAAAAA
Lady N JF-Expert Member Joined Nov 1, 2009 Posts 1,914 Reaction score 134 Feb 7, 2011 #3 mtoni au mchangani hapo!
Ambassador JF-Expert Member Joined Jun 2, 2008 Posts 933 Reaction score 77 Feb 8, 2011 #4 Ujumbe hauleweki, kwani title inasema mtoni wakati hapo hakuna mto zaidi ya kidimbwi sawa na beseni la maji ambapo papa anajivinjari.
Ujumbe hauleweki, kwani title inasema mtoni wakati hapo hakuna mto zaidi ya kidimbwi sawa na beseni la maji ambapo papa anajivinjari.
Al Zagawi JF-Expert Member Joined Mar 17, 2009 Posts 2,528 Reaction score 1,623 Feb 8, 2011 #5 hiyo picha ni forgery na mazingira kadhalika, hongera anyway :clap2:
G geophysics JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 904 Reaction score 167 Feb 8, 2011 #6 Ungeandika heka heka topeni
mfereji maringo JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 1,043 Reaction score 263 Feb 9, 2011 #7 jamani hiyo sio mudslide wakati wa tsunami?
MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 6,230 Reaction score 3,942 Feb 10, 2011 #8 Bwana labda heka heka baharini baada ya maji kupwa maana nikimuangalia huyo samaki namuona kama ni papa hivi papa huwa wanapatikana mtoni kweli!?
Bwana labda heka heka baharini baada ya maji kupwa maana nikimuangalia huyo samaki namuona kama ni papa hivi papa huwa wanapatikana mtoni kweli!?
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,046 Feb 10, 2011 #9 geophysics said: Ungeandika heka heka topeni Click to expand... precisely!!
Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,264 Reaction score 4,744 Feb 11, 2011 #10 Papa kwenye tope?
PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,202 Reaction score 8,788 Feb 11, 2011 #11 Mi nilijua kaweka hadithi ile ya darasa la sita Kitabu cha kiswahili cha..TUJIFUNZE LUGHA YETU'
Mpagama Senior Member Joined Jan 9, 2011 Posts 127 Reaction score 7 Feb 12, 2011 Thread starter #12 PakaJimmy said: Mi nilijua kaweka hadithi ile ya darasa la sita Kitabu cha kiswahili cha..TUJIFUNZE LUGHA YETU' Click to expand... Wewe ndiye great thinker wa ukweli, many thanx.
PakaJimmy said: Mi nilijua kaweka hadithi ile ya darasa la sita Kitabu cha kiswahili cha..TUJIFUNZE LUGHA YETU' Click to expand... Wewe ndiye great thinker wa ukweli, many thanx.
Laptop01 JF-Expert Member Joined Nov 29, 2009 Posts 1,426 Reaction score 885 Feb 12, 2011 #13 Mpagama said: Picha hii inatoa ujumbe gani? Click to expand... Hii kama vile hekaaheka MATOPENI?