Heightism ni aina mpya ya ubaguzi

Heightism ni aina mpya ya ubaguzi

kateli

Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
70
Reaction score
28
Siku hizi kumekuwa na ubaguzi wa kimo/height cha mtu yale ya rangi na dini yanapungua.

Wanaume kwa wanawake katika nyanja nyingi,Kazi,mapenzi,siasa,Urafiki,sanaa na michezo wamekuwa wakibagua na kubaguliwa.

Mapenzi;Mfano humu utasikia natafuta me/ke lakini awe na urefu wa .....

Jeshi pia kimo nacho kigezo.

Sanaa;wafupi ndio wachekeshaji na kukejeliwa.Dwarfs at circus.

Siasa wanachagua warefu wakidhani ndio viongozi bora.Mkapa was short but I like him.

Kwa hiyo watu wamekuwa na insecurities kwa sababu ya kimo.

Anyway mi nina 5.6ft.Kwa wale wanaojiona wafupi wajiamini.

Mifano ya watu maarufu wafupi.Mg.A.H.Mwinyi,B.W.Mkapa,Joti,Steve Nyerere,Aunt Ezekiel,Lulu Michael,salama jabir,calvin Hart,Aki na ukwa,Jack chan,harry potter,Messi,Most of Chinese people.

Ila diamond platnum alikuwa mfupi kwa adebayor sina picha bahati mbaya.

Stop Heightism.
 
daaaa,! tatizo watu wanachagua wapenzi ili wasifiwe na marafiki zao! unakuta kila siku ni kulialia tu mara hivi mara vile kumbe ulipenda phyaical appearance
 
Ni kweli kuna aina ya kazi huwezi pata kama mfupi..hata kwenye vyombo vingi vya habari ukiwa mfupi ujue una kitu peculiar..mfano..chunguza presenters wa Eatv na hata Star Tv utagundua kitu na hata presenters wa kimataifa..sasa wewe mtu kama steve nyerere asipowekwa kituko unataka acheze awe JAMBAZI?

Poleni vijeba!
 
Ufupi nyundo ni janga la kitaifa.
Mshukuru Mungu kama una kimo kizuri
Ukiwa short chasis basi ni ubishi na utata kwa kwenda mbele
 
Siku hizi kumekuwa na ubaguzi wa kimo/height cha mtu yale ya rangi na dini yanapungua.

Wanaume kwa wanawake katika nyanja nyingi,Kazi,mapenzi,siasa,Urafiki,sanaa na michezo wamekuwa wakibagua na kubaguliwa.

Mapenzi;Mfano humu utasikia natafuta me/ke lakini awe na urefu wa .....

Jeshi pia kimo nacho kigezo.

Sanaa;wafupi ndio wachekeshaji na kukejeliwa.Dwarfs at circus.

Siasa wanachagua warefu wakidhani ndio viongozi bora.Mkapa was short but I like him.

Kwa hiyo watu wamekuwa na insecurities kwa sababu ya kimo.

Anyway mi nina 5.6ft.Kwa wale wanaojiona wafupi wajiamini.

Mifano ya watu maarufu wafupi.Mg.A.H.Mwinyi,B.W.Mkapa,Joti,Steve Nyerere,Aunt Ezekiel,Lulu Michael,salama jabir,calvin Hart,Aki na ukwa,Jack chan,harry potter,Messi,Most of Chinese people.

Ila diamond platnum alikuwa mfupi kwa adebayor sina picha bahati mbaya.

Stop Heightism.

ufupi ni shida,mi mwanamke hata awe mzuri vipi akiwa mfupi hata sihangaiki kumtongoza. Pili mpenz wangu au nikija kuoa kisha mke wangu atembee na mwanaume mfupi nikajua namuacha ila mrefu naweza kumsamehe
 
Ufupi nyundo ni janga la kitaifa.
Mshukuru Mungu kama una kimo kizuri
Ukiwa short chasis basi ni ubishi na utata kwa kwenda mbele

hiyo ni kweli wengi wanakuwa wa bishi kitu kidogo anaona una mdharau
 
Sheria ya mapenzi huwa haina ubaguzi, acheni watu wapende kutokana na vigezo vyao

Wewe kama ni mfupi, yupo atayekupenda hivyo ulivyo wala usiweweseke maana hukupenda wewe
 
Sheria ya mapenzi huwa haina ubaguzi, acheni watu wapende kutokana na vigezo vyao

Wewe kama ni mfupi, yupo atayekupenda hivyo ulivyo wala usiweweseke maana hukupenda wewe

nahisi wanataka wapendwe na kila mwanamke. ukipendwa na mmoja na huo ufupi wako inatosha. au sio shemeji? hivi shem wewe ni mfupi au mrefu?
 
Ni kweli kuna aina ya kazi huwezi pata kama mfupi..hata kwenye vyombo vingi vya habari ukiwa mfupi ujue una kitu peculiar..mfano..chunguza presenters wa Eatv na hata Star Tv utagundua kitu na hata presenters wa kimataifa..sasa wewe mtu kama steve nyerere asipowekwa kituko unataka acheze awe JAMBAZI?

Poleni vijeba!

Ha ha ha ha ha haha.... Mkuu mbavu zangu daah.... Ila kiukweli ufupi sana sio mpango haswa akiwa ni mwanaume walah tabu tupu... Hebu mwangalie joti.... Sasa yule unamchezesha nafasi gani jaman?...
 
nahisi wanataka wapendwe na kila mwanamke. ukipendwa na mmoja na huo ufupi wako inatosha. au sio shemeji? hivi shem wewe ni mfupi au mrefu?


He he hehhe.. Naona umejimilikisha my dady ghafla kawa shemu wako... Makubwaaaaaaaa..... Mwanaume urefu bana alaaaaaah

Dady wangu sio mfupi plz
 
Naomba tutaje faida za vijemba tafadhali.
Nina amini zipo kadhaa.
Hawawezi kuwa reject product kwa asilimia mia
 
nahisi wanataka wapendwe na kila mwanamke. ukipendwa na mmoja na huo ufupi wako inatosha. au sio shemeji? hivi shem wewe ni mfupi au mrefu?

Shemeji hata sielewi kama mimi ni mrefu au mfupi...nijuacho ni kuwa nimeridhika na kimo nilichonacho
 
He he hehhe.. Naona umejimilikisha my dady ghafla kawa shemu wako... Makubwaaaaaaaa..... Mwanaume urefu bana alaaaaaah

Dady wangu sio mfupi plz

Nahisi kama nimekutana na malaika vile
 
Back
Top Bottom