Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
INAITWA KOMOA NIKUKOMOE!!
Mke: Mume wangu naomba pesa nikanunue nyama.
Mume: Twende chumbani ukachukue, walipofika Mume kaitoa elfu 5 akaionyesha kwenye kioo akamwambia Mkewe umeiona ile elfu 5 kwenye kioo?
Mke: ndio
Mume: ile ndo yako na hii haikuhusu alafu akaondoka kazini,
Jioni aliporudi akakuta rost la nguvu.
Mume: umepata wapi pesa ya kununulia hizi nyama?
Mke: twende chumbani, walipofika akavua chupi akaonyesha ku.ma kwenye kioo akamwambia" umeiyona ile ya kwenye kioo ndo yako, hii ya muuza nyama.
Mke: Mume wangu naomba pesa nikanunue nyama.
Mume: Twende chumbani ukachukue, walipofika Mume kaitoa elfu 5 akaionyesha kwenye kioo akamwambia Mkewe umeiona ile elfu 5 kwenye kioo?
Mke: ndio
Mume: ile ndo yako na hii haikuhusu alafu akaondoka kazini,
Jioni aliporudi akakuta rost la nguvu.
Mume: umepata wapi pesa ya kununulia hizi nyama?
Mke: twende chumbani, walipofika akavua chupi akaonyesha ku.ma kwenye kioo akamwambia" umeiyona ile ya kwenye kioo ndo yako, hii ya muuza nyama.