Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Habari wakuu,
Kutokana na ttclbb kutokuwa hewani kwa sikuu kadhaa hapa kwangu, naamua kuangalia option zingine. Ninayo usb modem HUWAEI EC121 ya haohao ttcl (sijawahi kuitumia bado iko boxed), nlivojaribu kuitumia leo asbh naona inagoma kuunga, haionesh hata network!! Sasa sijajua inawezekana settings za kwenye profile sizo, nisaidieni settingz mwenye nazo tafadhali. Pia nitafurahi kama nikipata na za Zantel, Voda, Zain, na Tigo.
Pia mwenye kkufahamu ni jinsi gani naweza kuifungua hii modem iweze kutumika kwa mitandao yote! Thanks
Kutokana na ttclbb kutokuwa hewani kwa sikuu kadhaa hapa kwangu, naamua kuangalia option zingine. Ninayo usb modem HUWAEI EC121 ya haohao ttcl (sijawahi kuitumia bado iko boxed), nlivojaribu kuitumia leo asbh naona inagoma kuunga, haionesh hata network!! Sasa sijajua inawezekana settings za kwenye profile sizo, nisaidieni settingz mwenye nazo tafadhali. Pia nitafurahi kama nikipata na za Zantel, Voda, Zain, na Tigo.
Pia mwenye kkufahamu ni jinsi gani naweza kuifungua hii modem iweze kutumika kwa mitandao yote! Thanks