Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,820
dah we jamaa una moyo m angeondoka apo apo na ngumi za kutosha unaeza ushangae unakaa mwez huna ta kumi kumbe kakugundia
Duh!! Ameshika mtutu umepanic namna hiyo sipati picha ungestuka halafu ukakuta kiganja cha jamaa kinafanya doria kwenye ki.jambio chako ebannnae?!
Angalau mdau angemwelimisha madhara ya huo mchezo pengine angeweza kumsaidia kuliko kuja kumchoresha hapa!
wengine ni mahayawaniNaunga mkono hoja, si vyema kabisa kumlaza mtoto na mtu yeyote yule hata wa karibu.
Kweli ndugu yangu FaizaFoxy hapo umeongea neno la maana sana.Naunga mkono hoja, si vyema kabisa kumlaza mtoto na mtu yeyote yule hata wa karibu.
yawezekana jamaa hiyo ndo kazi yake dar, bila shaka
Ilisimama alipokushika?🙄
Kiukweli Maisha ya Sasa ni kuwa makin saaana... Lasivyo utaliwa au kula kabaang.... Nyakati sio hizi..
Pole na majanga kaka lakini next time jaribu ku avoid kulala na mwanaume mwenzio kitanda kimoja. Mpe kitanda wee ulale kwenye kochi au vice versa. Una bahati on this occasion jamaa alitaka umpakue, unaweza ukalala na mpakuaji na kama umekula maji ya mende kwa sana by the time unaamka itakua ni too late, utaskia harufu ya kinyesi tu!
Ungembandua kabaang ungepungukiwa nini?habari za wikiendi nduguzangu wana jf?
Leo nimeamua kushare na ninyi kisa ambacho kimenitokea usiku wa kuamkia leo kama kama ifuatavyo;
mwanzoni mwa wiki hii rafikiyangu ambaye nilipotezana naye kwa muda wa takribani miaka 3 hiv alinipigia simu ya kwamba anataka kwenda mwanza akitokea dar so alisemapia atapitia hapa dom [ambapo mimi ndo naishi] angalau tukaenaye kama siku 2 hivi then ndo aende mwanza kwa vile nilikuwa alikua ni rafikiyangu sana na classmate wangu ambaye tulikua tumeshibana sikamwambia kirohosafiiiii aje tu maana itakua mzuka sana
alifika hapa dom siku ya ijumaa mchana akitokea dar,nikampokea na kumpeleka hadi sehemu niliyopanga ambapo ndo ninaishi tukapiga story mbilitatu nikamuonesha sehemu ya kuoga after that tukapiga luch pamoja na story za hapa na pale zliiendelea.ilipofika mida ya jioni ikanibidi tutoka tukaenda somewhere kupata maji ya rangi ya mende,pombe kali na nyamachoma/mida ilipoenda ikabidi tukodi tax hadi home,tukalala ila nilishtuka usiku kwa kuhisi ninapapaswa sehemuzangu za siri[gobore] nilipomuuliza nduguyangu kulikoni!?mbona sikuelewi?
Jamaa akaniambia ya kwamba yeye sio riziki na alikua anataka nimkabaang!
Aiseee! Nilitamani nimfukuze usiku wa manane ila roho ya huruma ikanijia nikaamua nimuache alale kitandani pekeyake na mimi nikaendakulala kwenye sofa/kochi!
Ila nashukuru leo mchana kaondoka
AMAKWELI UKISTA AJABU YA MUSSA........YA ---- HUNI#
Pole na majanga kaka lakini next time jaribu ku avoid kulala na mwanaume mwenzio kitanda kimoja. Mpe kitanda wee ulale kwenye kochi au vice versa. Una bahati on this occasion jamaa alitaka umpakue, unaweza ukalala na mpakuaji na kama umekula maji ya mende kwa sana by the time unaamka itakua ni too late, utaskia harufu ya kinyesi tu!
Ungembandua kabaang ungepungukiwa nini?