Heee!

Ally Ngowo

Member
Feb 24, 2015
86
19
32cc36aa36cf39096d2df67f0edae743.jpg
 
Du, napenda sana maisha ya wazenji, no stress,angalia jinsi walivyo tulia hapo, hapo ni saa nne asubuhi, baba katulia kesharudi toka baharini kuvua samaki, wamama washemaliza pika vitumbua na chapati, kwa muda huo wachaviuza vyakaribia isha. Ahaaa Zanzibar raha bwana, jioni haoo foradhani kula urojo.
 
Du, napenda sana maisha ya wazenji, no stress,angalia jinsi walivyo tulia hapo, hapo ni saa nne asubuhi, baba katulia kesharudi toka baharini kuvua samaki, wamama washemaliza pika vitumbua na chapati, kwa muda huo wachaviuza vyakaribia isha. Ahaaa Zanzibar raha bwana, jioni haoo foradhani kula urojo.
UROJO UNAROJOA AISEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom