Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,071
Waungwana!! Mnisaidie katika hili! Nampenda sana naye ananipenda ila tatizo amepitiliza katika kuchat,yan sms 500 kwake ni masaa tu, kibaya huwa nikimtumia mimi za kwangu kwa kuchelewa anasema sms zimemwishia so atanitext 2,3 then over. NIFANYEJE ILI APUNGUZE KUCHAT MANA CIPENDI HII TABIA!!!
Ha ha haaaaaaa,umenichekesha sana!muulize kama anaijua "walkman" ukiona anashangaa shangaa ujue utoto bado unamsumbua
Ha ha haaaaaaa,umenichekesha sana!
pacha mwanaume si ndugu yako atiii!!
anakugeuka sekunde,sasa kama ulipenda hundred percent
lazima uugue kichaa!!
Umenena ukweli kabisa mwanaume sio ndugu yako anakugeukia muda wowote utafikiri hamjawahi kufanya mazuri katika maisha, hujawahi kumshauri vizuri katika maisha wala kuwafanyia mazuri ndugu zake. Yaani atakubadilikia utafikiri huna mchango katika maisha yenu / yake.Ni watu wa kuishi nao kwa akili sio wa kuwaamini asilimia mia
pacha mwanaume si ndugu yako atiii!!
anakugeuka sekunde,sasa kama ulipenda hundred percent
lazima uugue kichaa!!
Na wewe chat kumzidi yeye ataacha
hata na sisi wanawake ni hivyohivyo pacha kunawanawake pasua kichwa balaa, ila mi wangu nampenda asilimia zote ukiwa mwepesi wa kusamehe, kusahau aukupotezea uchuro wa mapenzi katu huto chizika pacha.....!
Sijawahi kuumia katika mapenzi pacha na ninaomba kwa nguvu zote isitokee.
Agreed 100%Stuka dem wa hivyo ana mambo mengi na yko ki digital zaidi sms 500 za nn?then wwe tatu tu,jaribu kuchunguza utagundua anao chat nao wengi wao ni wanaume na ukiuliza utaambiwa marafiki tu,mwnamke ambae yko busy kila dk na fb,what up, bbm huyo bado asearch for device may b km na wwe unasogeza sku tu
Hata wanawake sio ndugu zetu...lazima tuishi nao kwa umakini dadeeeki!!Umenena ukweli kabisa mwanaume sio ndugu yako anakugeukia muda wowote utafikiri hamjawahi kufanya mazuri katika maisha, hujawahi kumshauri vizuri katika maisha wala kuwafanyia mazuri ndugu zake. Yaani atakubadilikia utafikiri huna mchango katika maisha yenu / yake.Ni watu wa kuishi nao kwa akili sio wa kuwaamini asilimia mia
Waungwana!! Mnisaidie katika hili! Nampenda sana naye ananipenda ila tatizo amepitiliza katika kuchat,yan sms 500 kwake ni masaa tu, kibaya huwa nikimtumia mimi za kwangu kwa kuchelewa anasema sms zimemwishia so atanitext 2,3 then over. NIFANYEJE ILI APUNGUZE KUCHAT MANA CIPENDI HII TABIA!!!
yani sms 500 we unaambulia 2au3
nyingine anachart na wenzio,shtuka best