Heee! Mtwara bado wana machungu?

Heee! Mtwara bado wana machungu?

Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Ngoja mama na dada yako wananilihiwe ndipo utuletee huu uchambuzi wako wa ki..j..inga. Usicheze na feelings za watu bana..
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Hongera wewe uliye na elimu kuuuubwa!!! watu wengine sijui huwa munaumbwa saa ngapi?
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Nadhani watu wa Mtwara walikuwa sahihi kuiomba serikali uchimbaji na usafishaji gesi ufanyikie Mtwara,na sidhani kama nia ni kuwanyima Watanzania haki ya gesi.Hebu tujiulize mbona dhahabu,almasi,Tanzanite na madini mengine yanasafishwa kwenye eneo husika na kinachosafirishwa ni kilichosafishwa?

Watawala sababu ya choyo,unafiki na kujilimbikizia mali kuliko pitiliza wakijali familia zao na marafiki zao ndiyo hawakuwaelewa watu wa Mtwara.Nitasimamia kuwatetea watu wa Mtwara kwamba hawakutendewa haki,na hii itakuja kutugharimu siku moja.

Elimu siyo kuwa na akili ni njia tu ya kujua kusoma na kuandika.Kuna maprofesa kibao lakini tujiulize wamelifanyia nini Taifa letu.Hongera watu wa Mtwara kwa kuzijua haki zenu za msingi.
 
Sizani kama ni busara kuchochea na kupongeza kwa waliyoyafanya watu wa Mtwara. Wawe wapole kama sisi wasukuma wa geita na shinyanga tulivyo wapole kwenye dhahabu. Kuandamana na kufunga bara bara na biashara sio suruhu ya kero zao. Wakae mezani wazungumze na serikali sikivu ya jembe na nyundo itawasikia na kutatua kero zao.
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Na kuhusu barabara ya Somanga hadi daraja la Mkapa nalo ni jambo la kuchochewa na wanasiasa?........miaka hamsini ya Uhuru mambo bila bila...........ona hii ya mwenzi April 2014
View attachment 160089 1398459457366.jpg View attachment 160089 1398459495588.jpg 1398459418534.jpg
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga
Hawa jamaa ni wajinga leo kwasababu walipuuzwa na serikali yenu ya chama cha magamba. Kama wasingalipuuzwa basi wangalijengewa shule na vyuo na hivyo kupata elimu ya kuondoa ujinga. Kama ni suala la ujinga basi wa kulaumiwa ni CCM na si watz. Hata hivyo, usisahau kwamba ujinga wa watz ndio mtaji mkubwa wa CCM kuendelea kubaki madarakani. Nafikiri umejionea mwenyewe yaliyotokea Kalenga na Chalinze. Yote haya yanadhihirisha kwamba ujinga si kwa wana-mtwara tu bali ni kwa watanzania wengi. Na kichocheo kikuu cha ujinga huu ni chama chenu cha magamba.
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga


Akili za ki.puuzi kama hizi peleka huko huko kwa jamaa zako.

Mziki huu bado unaendelea.

Salamu ziwafikie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom