Heee! Mtwara bado wana machungu?

Heee! Mtwara bado wana machungu?

we unaumia na nini? kama maduka tumefunga sisi,mishumaa tumewasha sisi, shida yako we haswa in ipi!? unaleta masuala ya elimu kana kwamba ukiwa na elimu ndio husikii uchungu wa kufiwa! pole ndugu kma umekwazika ila kwa taarifa yako tutawakumbuka kila mwaka watu watoto zetu na mama zetu waliouwawa na kubakwa kinyama name ipo siku kilio chetu Mungu atakisikia

hiyo si ajali kama ya mv bukoba, nyie mlichochewa na mkachocheka na hivyo kutengeneza mazingira ya ubakaji nyie wenyewe, sasa unategemea nini kwa nchi yenye askari wenye akili kama za .........? si ubakaji na mauaji tu? badilikeni bwana,msikalie misimamo ya kijingajinga. ubinafsi tamaa viliwaponza mkabaki kusingizia eti mikoa yenu iliachwa nyuma umefika kigoma wewee? sema nyie mna asili ya ubishi wa kijinga, kwa hiyo mijitu ilivyoona gesi ikaanzisha mada za kuwavuruga ili ifaidike kisiasa, nanyi pasi kutafakari mkaingia mkenge.
 
hiyo si ajali kama ya mv bukoba, nyie mlichochewa na mkachocheka na hivyo kutengeneza mazingira ya ubakaji nyie wenyewe, sasa unategemea nini kwa nchi yenye askari wenye akili kama za .........? si ubakaji na mauaji tu? badilikeni bwana,msikalie misimamo ya kijingajinga. ubinafsi tamaa viliwaponza mkabaki kusingizia eti mikoa yenu iliachwa nyuma umefika kigoma wewee? sema nyie mna asili ya ubishi wa kijinga, kwa hiyo mijitu ilivyoona gesi ikaanzisha mada za kuwavuruga ili ifaidike kisiasa, nanyi pasi kutafakari mkaingia mkenge.

Unatafutia watu ban we Pakashume.
 
Ni ujasiri mkubwa sana huo, Big up wana Mtwara.

Haya Arusha, Mbeya, Zanzibar, Iringa, Morogoro na Tarime fanyeni hivyo kutuma ujumbe kwa chama tawala na serikali yake.
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

mimi natokea Mtwara, wewe ulienda tu kutembea au ulitumwa tu na hao ccm,bila kujali elimu yao kikubwa kwa binadamu yeyote ni KUJITAMBUA! Self actualizatio! ni hatua kubwa sana katika kupambana na watawala wanao tumia mabavu kama ndio namna ya kuendelea kuwatawala the have nots! ukijitambua hutakuwa mtumwa kamwe. na wewe ukijitambua hutaweza ku judge jambo kwa uchunguzi wa siku moja.
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

mliwafanya wajinga ili muwatawale kirahisi sasa wamewageuka. Au umesahau mjinga akielevuka werevu wako mashakani!!!? Kazi mnayo sasa watu kuwa na msimamo wa pamoja namna hii na ukatumiwa kwenye uchaguzi mwakani jua ni hatari sana kwa watawala na wasitegemee kura kutoka kwao. SALAMU HII KWA WATANI ZANGU NIMEIPENDA.
 
we unaumia na nini? kama maduka tumefunga sisi,mishumaa tumewasha sisi, shida yako we haswa in ipi!? unaleta masuala ya elimu kana kwamba ukiwa na elimu ndio husikii uchungu wa kufiwa! pole ndugu kma umekwazika ila kwa taarifa yako tutawakumbuka kila mwaka watu watoto zetu na mama zetu waliouwawa na kubakwa kinyama name ipo siku kilio chetu Mungu atakisikia

Nimeipenda sana kauli yako hii. Uliyemjibu sasa atakuwa amenyong'onyea kabisa.
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Kwahiyo kama hawana elimu ndiyo iweje sasa? Mbona unaongea ut.umbo tu hapa.Kuikumbuka siku waliofanyiwa unyama na elimu kuna uhusiano gani? Wewe kweli ni mbu.lula namba moja
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Umesha athiriwa na Sisiemu
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Ni moja ya mchango wenye kinyaa kabisa kuwahi kuwekwa. Inaonekana hao unaowaita hawana elimu wana Elimu kuliko hata wewe.ambaye hujitambui, wewe ni mbumbumbu kuliko hao unaowaita hawana elimu.
 
Wazungu wanasema "Never ignore or underestimate public sympathy"
Watawala lazima waogope hapo
 
hiyo si ajali kama ya mv bukoba, nyie mlichochewa na mkachocheka na hivyo kutengeneza mazingira ya ubakaji nyie wenyewe, sasa unategemea nini kwa nchi yenye askari wenye akili kama za .........? si ubakaji na mauaji tu? badilikeni bwana,msikalie misimamo ya kijingajinga. ubinafsi tamaa viliwaponza mkabaki kusingizia eti mikoa yenu iliachwa nyuma umefika kigoma wewee? sema nyie mna asili ya ubishi wa kijinga, kwa hiyo mijitu ilivyoona gesi ikaanzisha mada za kuwavuruga ili ifaidike kisiasa, nanyi pasi kutafakari mkaingia mkenge.
Poorest comment
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let us be serious jamani na si kusifia ujinga

Huo ujinga wao umeletwa na CCM kwa kutowapa mazingira ya wao kuelimika ili waendelee kuwanyanyasa sasa inawarudia wenyewe
 
Huu msimamo ni mkubwa sana na inaonesha kuna kitu kinawaumiza hawa ndg zetu dhidi ya dhuluma wanayofanyiwa na ccm. Nami imeniuma
 
we unaumia na nini? kama maduka tumefunga sisi,mishumaa tumewasha sisi, shida yako we haswa in ipi!? unaleta masuala ya elimu kana kwamba ukiwa na elimu ndio husikii uchungu wa kufiwa! pole ndugu kma umekwazika ila kwa taarifa yako tutawakumbuka kila mwaka watu watoto zetu na mama zetu waliouwawa na kubakwa kinyama name ipo siku kilio chetu Mungu atakisikia
poleni sana wana Mtwara, kwa hili tupo pamoja nanyi!!
 
Nimeipenda sana kauli yako hii. Uliyemjibu sasa atakuwa amenyong'onyea kabisa.


Tatizo lako wewe unadhani kila anayechangia humu negatively anaiunga mkono ccm, huo ni ufinyu wa kutafakari, mimi nimewakosoa tabia yao ambayo kwangu mimi naiona haikuwa na tija yoyote zaidi ya hasara. humu ni kwa great thinkers na sio kwa wapinga ccm pekee hacheni ujinga nyie.kuna nanma nyingi za kufikisha ujumbe kwa watawala na si lazima kuzuia hatua za maendeleo au kufanya hujuma, wakati kuna uchaguzi(ingawa utazungumzia wizi wa kura najua),lakini kama wanamtwara hao wenyewe wanaifavour ccm kwenye uchaguzi wao unategemesa akili zao ni za maendeleo au kilichotokea ni uchochezi wa kijinga?
 
Si ujasiri ni ujinga kabisa huo, wengi huko elimu ni ndogo sana, imgawa kuna wengine walifunga maduka kwa kuhofia kufanyiwa visa au sababu za kisiasa(kuwania uongozi),jambo la gesi jinsi lilivyokuwa halieleweki kwa wana mtwara ndivyo akili zao zilivyo mpaka wanaadhimisha kwa kufunga huduma hii leo, ni upumbavu huo. Najua mtanipinga lakini ukweli utabaki palepale kuwa hawataendelea kwa mtindo kama huo, ukifanya utafiti utagundua katika kila maduka kumi wenye elimu ya fom 4 2(ukiacha elimu ya dini) same applies to bodaboda people pale mtwara,nilitumia usafiri huo na kufanya udadisi. mimi nilikuwepo kule mtwara baada tu ya vurugu, nilikuwa nikisikiliza hoja zao zilikuwa hazina mashiko kabisa zaidi ya kuwa wengi walifuata mkumbo na wengine kuchochewa na wanasiasa na udhaifu wa serikali ya sisiemu katika kutoa taarifa za msingi zihusuzu mpango wa gesi, otherwise nalaani kwa nguvu zote ujinga huo,kwa nini umoja huo usiwe wa kuchangia ujenzi wa chuo kikuu, sekondari,zahanatin.k? let







serious jamani na si kusifia ujinga
Wewe unafikiria kwa kutumia makalio. Nani amekuambia watu wa mtwara hawana elimu. Yaani hapa unaongea ujinga. Kuomboleza na elimu vinahusiana nini. Hata wanyama wanaomboleza unataka kusema walisoma wapi. Huo ni ujinga na kama ungekuwa unaongea ikiwa watu wanakuona basi unapigwa hadi ufe. Na hiyo elimu yako inamsaidia nani. Acha ujinga
 
Nimependa sana msimamo wa Wana Mtwara. Hii nashauri na Arusha wafanye hibyo kuwakumbuka wahanga wote walio sitishiwa maisha na maccm.

Inabidi waonyeshe msimamo huohuo kwenye ballot box 2015. Hakuna haja ya kuandamana. Waadhibiwe kwa nafasi na taratibu zilizopo.
 
Hawa watu wana misimamo mizito sana.

Kuna hatari siku moja watataka kuanzisha nchi yao na kuitenga kutoka Tanzania.


Chezea Wamakonde weweeeeee!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom