mwanaapolo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 256
- 79
Kuna msemo usemao "mla ndizi husau, mla ganda ...."
Nilisahau kuhusu "the gas saga" ila wana mtwara wamenikumbusha baada ya leo kufunga biashara zao na usafiri wa uma kuwa enzi waliopoteza uhai, kupigwa pamoja na mali zilizopotea.
Sasa Mama Salma Kikwete anaweza furukuta kama watanzania hawa bado wana vidonda vibichi???
Nilisahau kuhusu "the gas saga" ila wana mtwara wamenikumbusha baada ya leo kufunga biashara zao na usafiri wa uma kuwa enzi waliopoteza uhai, kupigwa pamoja na mali zilizopotea.
Sasa Mama Salma Kikwete anaweza furukuta kama watanzania hawa bado wana vidonda vibichi???