hali hiyo ni kawaida sana kwa wanawake inatokeaga wiki moja kabla ya kuingia kwenye hedhi.inatofautiana kati ya mwanamke huyu na mwengine..wengine wanakuwa na maumivu makali kwenye nyonga.wengina wana kuwa na homa au dalili za maralia lakini sio.wengine wanakuwa wanatapika na kuhalisha.wengine ndo wanakuwa na hasira.bila sababu za msingi.hivyo isikupe shida mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.