Hedhi ina uhusiano wowote na hasira?

Hedhi ina uhusiano wowote na hasira?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,814
Reaction score
831,027
Nilipata kufanya kazi kwenye kitengo chenye akina mama wengi, ilikuwa ni kawaida mno kwenye tarehe fulani za mwezi baadhi ya kina mama na dada kuwa na hasira hata kwa kitu kidogo sana, nikaja kumuuliza mmoja ambaye nilikuwa nimemzoea, akaniambia inakuwa hivyo lakini hajui ni kwanini!, nimejaribu kufuatilia mara kwa mara kuna ukweli fulani na hii husababishwa na ile hali ya kuvaa pedi na kuvuja mara mara! Ukimuona mwanamke ana hasira za haraka mchunguze kwa makini
 
Nikweli kuna uhusiano me nishafanya utafiti
 
Last edited by a moderator:
Hasira wakati mwingine ni lazima kwasababu uwa inaambatana na maumivu ya baadhi ya viungo.Mtu akiwa kwenye maumivu anakua hana raha.
 
Ni kweli hiyooo...ngoja waje wathibitishe tuu
 
Mshana junior mkeo au girlfriend wako au mchumba ni vipi? Kwa uelewa wangu wakati huo kunakuwa na hormone imbalance katika mwili wake hivyo lazima kuna kutingishika.Ni kweli kunakuwa na hasira tena ni kwa asilimia kubwa ya akina mama/mabinti.
 
Kuna kitu kinaitwa pre menstrual tension, huwa ni hali ya mabadliko kuelekea kwenye hedhi, katika kipindi hiki kunakuwa na mabadiliko ya vichocheo katika mwili wa mwanamke, mabadiliko hayo yanamfanya mtu achange mood, yani hasira hasira tu, mtu anaweza kulia bila sababu n.k.
Yani me nikiwa kwenye hiyo PMT, usinisogelee, yani naweza kununa bila sababu na nakuwa natamani kugombana gombana, nikiona hamna dalili ya ugomvi basi nitausaka kwa nguvu zote.
 
mshana junior mkeo au girlfriend wako au mchumba ni vipi? Kwa uelewa wangu wakati huo kunakuwa na hormone imbalance katika mwili wake hivyo lazima kuna kutingishika.ni kweli kunakuwa na hasira tena ni kwa asilimia kubwa ya akina mama/mabinti.

zogwale subiri atakuja mwenyewe kujibu
 
Kiufupi ni kweli inaweza kuja nyege sana na hasira sana.
 
Nimetoka kumdunda mtu sahivi nnahasira wallah!!
 
Ni kweli

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom