DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Heche ametaka uchunguzi ufanyike na vyombo vya kimataifa kuhusu kilichotokea nchini tarehe 29 Oktoba 2025 siku ya uchaguzi Mkuu na sio vyombo kutoka ndani ya nchi kwa kuwa ndivyo vinavyotuhumiwa.
Heche ameyasema hayo hii leo tarehe 12 Novemba 2025, kwenye viunga vya Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam, mara baada ya kuahirishwa kwa shauri la uhaini linalomkabili mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu.
Heche ameyasema hayo hii leo tarehe 12 Novemba 2025, kwenye viunga vya Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam, mara baada ya kuahirishwa kwa shauri la uhaini linalomkabili mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu.