Heche: Stieglers Gorge itachukua miaka 10 kujengwa, Arab Contractors haijawahi kujenga bwawa

Mbunge John Heche amesema umeme wa Stiegler's Gorge utawaka mwaka 2027, kwani kukamilisha mradi huo zinahitajika TZS 7.1tril, na inahitajika miaka 10 kukamilika. Ameliambia Bunge Kampuni ya Arab Contractors hajawahi kujenga bwawa kokote duniani, hivyo inaajiri makampuni mengine.

Hivi hujui kuna ''Long Term Planning?'' hivi vyuo vyetu sikuhizi havifundishi strategic Management? kwahiyo ulitaka wakamilishe ujenzi November 2019? wenzetu ulaya wanafanya miradi itakayokamilika 2100 kama kupeleka binadamu Jupitor.
 
Mungu saidia tusije kuwa kama Ugiriki wakati ilipotetereka kiuchumi.
7.1 trl? bora tungeendelea kujenga lami watu wanunue Solar Panels, gridi ya taifa iwe inaimarishwa kidogokidogo.Maana viwanda vyenyewe vinanipa mashaka hao wakurugenzi wanapeleka fedha sijui Uswisi..
Chuma cha Liganga na Mchuchuma utakiyeyusha kwa solor? watu wengine mbona mnawaza kimasikini sana?
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors? hata Dreamliner mifumo ya computer na tv imefungwa na Toshiba, hata SGR mifumo ya umeme inafungwa na Siemens na TV zitafungwa na Toshiba, umeme wa kuendesha reli utasimamiwa na General Electric. Suala sio kampuni kuwahi jenga ni wataalamu wake wanao weledi na ujuzi wakutekeleza mradi, tunaweza wapa kampuni iliyojenga akasomba dam au mtera dam kumbe wahandisi wote walishastaafu ikawa kazi bure.
Mbona humuulizi jiwe na chemistry yake lakini kila kitu anajua.Hivi kujua ufanisi wa kampuni fulan lazima ukasomee?Mijitu mingine bhana ujinga mtupu
 
Hizo ni blah blah za wapinzani
Wakati mwendo kasi inaanza kujengwa walisema hautawezekama kabisa
Ndege ziliponunuliwa walisema chakavu zitakufa kabla kuanza kazi
Sasa wanawangia mradi wa kufua umeme
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors?
Kama 80% anapewa Sub-contractor si kazi nzima anaifanya huyo Sub-Contractor na siyo Main-Contractor?
 
Chuma cha Liganga na Mchuchuma utakiyeyusha kwa solor? watu wengine mbona mnawaza kimasikini sana?
Kwa ivo tutasubiri hadi mwaka 2017 ili kuyeyusha chuma cha Liganga? Mchuchuma ni makaa ya Mawe!! Halafu kwani Stigler's Gorge inajengwa kwa ajili ya kuyeyusha chuma cha Liganga. Umeshawahi kusoma "Mtwara Corridor Strategy Plan"?
 
Hizo ni blah blah za wapinzani
Wakati mwendo kasi inaanza kujengwa walisema hautawezekama kabisa
Kwanza wapinzani hawakusema Mwendokasi hazitafanya kazi kabisa, mabishano yalikuwa Hisa za UDA alikuwa anamiliki nani kati ya Halmashauri ya jiji na Hazina. Lakini tukirudi kwenye hoja yako jee UDART inafanya kazi kama ilivyotarajiwa?

Lakini mradi wa Stgieler's Gorge unahitaji kiasi gani cha fedha ili kuukamilisha?
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors? hata Dreamliner mifumo ya computer na tv imefungwa na Toshiba, hata SGR mifumo ya umeme inafungwa na Siemens na TV zitafungwa na Toshiba, umeme wa kuendesha reli utasimamiwa na General Electric. Suala sio kampuni kuwahi jenga ni wataalamu wake wanao weledi na ujuzi wakutekeleza mradi, tunaweza wapa kampuni iliyojenga akasomba dam au mtera dam kumbe wahandisi wote walishastaafu ikawa kazi bure.
Heche anamawazo mgando ! Living in the past, the earth has shifted beneath him. Dunia ilivyopiga hatua kimaendeleo ya sayansi na technology yeye bado anawaza "uwe na experience ndio upate kazi " ! Poor guy...
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors? hata Dreamliner mifumo ya computer na tv imefungwa na Toshiba, hata SGR mifumo ya umeme inafungwa na Siemens na TV zitafungwa na Toshiba, umeme wa kuendesha reli utasimamiwa na General Electric. Suala sio kampuni kuwahi jenga ni wataalamu wake wanao weledi na ujuzi wakutekeleza mradi, tunaweza wapa kampuni iliyojenga akasomba dam au mtera dam kumbe wahandisi wote walishastaafu ikawa kazi bure.
Heche anamawazo mgando ! Living in the past, the earth has shifted beneath him. Dunia ilivyopiga hatua kimaendeleo ya sayansi na technology yeye bado anawaza "uwe na experience ndio upate kazi " ! Poor guy...
 
Huyo huyo alisema serikali haina pesa ya kujenga SGR lakini sisi wananchi tunaona kazi inavyo fanyika
 
Heche anamawazo mgando ! Living in the past, the earth has shifted beneath him. Dunia ilivyopiga hatua kimaendeleo ya sayansi na technology yeye bado anawaza "uwe na experience ndio upate kazi " ! Poor guy...
Large dams are often pet projects of dictators. Lacking accountability leads to massive corruption and cost overruns. On average, large dams experience cost overruns of 96% and are not economic. The cost of Argentina’s Yacyretá Dam has mushroomed from $2.5bn to $15bn. A former president called Yacyretá “a monument to corruption”.
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors? hata Dreamliner mifumo ya computer na tv imefungwa na Toshiba, hata SGR mifumo ya umeme inafungwa na Siemens na TV zitafungwa na Toshiba, umeme wa kuendesha reli utasimamiwa na General Electric. Suala sio kampuni kuwahi jenga ni wataalamu wake wanao weledi na ujuzi wakutekeleza mradi, tunaweza wapa kampuni iliyojenga akasomba dam au mtera dam kumbe wahandisi wote walishastaafu ikawa kazi bure.
Kama ni simple hivyo, kwa nini wasingepewa Watanzania ndo wakasubcontract kazi hiyo?
 
Large dams are often pet projects of dictators. Lacking accountability leads to massive corruption and cost overruns. On average, large dams experience cost overruns of 96% and are not economic. The cost of Argentina’s Yacyretá Dam has mushroomed from $2.5bn to $15bn. A former president called Yacyretá “a monument to corruption”.
Likely true. And the main issue is why major projects are implemented at pa? I mean in a small range of time with such huge costs? Are the beneficiaries collectively understand the outcomes?
 
Kama ni simple hivyo, kwa nini wasingepewa Watanzania ndo wakasubcontract kazi hiyo?
Lau Masha alitaka kuleta kampuni ya Indonesia kutengeneza vitambulisho vya taifa tukasema hata NIDA wanaweza haya miaka mingapi sasa NIDA wanazunguka na Laptop na vitambulisho hakuna.
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors? hata Dreamliner mifumo ya computer na tv imefungwa na Toshiba, hata SGR mifumo ya umeme inafungwa na Siemens na TV zitafungwa na Toshiba, umeme wa kuendesha reli utasimamiwa na General Electric. Suala sio kampuni kuwahi jenga ni wataalamu wake wanao weledi na ujuzi wakutekeleza mradi, tunaweza wapa kampuni iliyojenga akasomba dam au mtera dam kumbe wahandisi wote walishastaafu ikawa kazi bure.
Sasa hao wanaobisha kwamba hio Arab Contractors haija wa sub contract watu wengine unawaweka kundi gani? Ukiwa unazungunza jambo lazima uwe objective...
 
Huyu heche kasomea ualimu wa history na Geography haya ya ujenzi anayatoa wapi? kwa akili yake kazi kubwa kama ile itafanya peke yake bila sub contractors? hata Dreamliner mifumo ya computer na tv imefungwa na Toshiba, hata SGR mifumo ya umeme inafungwa na Siemens na TV zitafungwa na Toshiba, umeme wa kuendesha reli utasimamiwa na General Electric. Suala sio kampuni kuwahi jenga ni wataalamu wake wanao weledi na ujuzi wakutekeleza mradi, tunaweza wapa kampuni iliyojenga akasomba dam au mtera dam kumbe wahandisi wote walishastaafu ikawa kazi bure.



Sasa hapo unamlaumu Heche kusema ukweli kwamba kutakuwa na sub contracting au unamlaumu Naibu spika kwa kumpinga Heche juu ya sub contracting ??!!
 
Tatizo jamaa analazimisha ionekane yeye ni wa kipekee kuliko wenzake wote waliomtangulia yaani ameweza fanya mambo makubwa sana katika muda mfupi



That is it,---------, hapo umepiga nyundo juu ya kichwa cha msumari, Yeye anataka waliomtangulia waonekane si lolote mbele yake na hapo ndipo mwanzo wa "vicious cycle" inayoendelea.🤔🤔
 
Chuma cha Liganga na Mchuchuma utakiyeyusha kwa solor? watu wengine mbona mnawaza kimasikini sana?
Endelea kuamini kila unachoambiwa kuhusu viwanda, hivi wewe unafahamu mtaji wa kuanzisha heavy industry na gharama za kurudisha mtaji? Unakaa unaimba chuma chuma, nitajie basi japo viwanda vitano vya chuma vinavyotumia makaa ya mawe, umeme ukija vitaji-transform kutumia umeme.
 
Back
Top Bottom