Elias Msuya
Senior Member
- Dec 23, 2011
- 173
- 671
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema kama mabadiliko wanayoyadai yatapatikana kabla ya uchaguzi na endapo Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu atakuwa bado anashikiliwa rumnande, watampelekea fomu ya kugombea uraia na atashinda akiwa gerezani.
Ameyasema hayo Julai 11, alipokuwa akizungumza na makada wa chama hicho mjini Musoma Mkoa wa Mara
.
Ameyasema hayo Julai 11, alipokuwa akizungumza na makada wa chama hicho mjini Musoma Mkoa wa Mara