GE2025 Heche: Kila mtu anayo haki ya kufanya chochote ndani ya nchi hii

GE2025 Heche: Kila mtu anayo haki ya kufanya chochote ndani ya nchi hii

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Oktoba 4, 2025, Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche alizungumza na wananchi wa Kijiji cha Bukokwa kilichopo Halmashauri ya Buchosa, mkoani Mwanza, katika mkutano wa hadhara uliohusu kampeni ya “No Reforms, No Election”. Katika hotuba yake, Heche alisisitiza kuwa chama chake hakitaogopa vitisho vya kukamatwa, kesi au kifungo gerezani katika harakati za kudai mabadiliko ya sheria na mfumo wa uchaguzi nchini.

 
Katika hotuba yake, Heche alisisitiza kuwa chama chake hakitaogopa vitisho vya kukamatwa, kesi au kifungo gerezani katika harakati za kudai mabadiliko ya sheria na mfumo wa uchaguzi nchini.
 
Back
Top Bottom