Jibu swali, ingekuwa mumeo ndiyo anazungushwa hivyo na mahakama fake hizi ungefurahi?We kibwengo una haraka unajua uamuzi wa jaji, nyie ni mazombie kweli mnataka mlazimishe kila kitu, shenzy
Ni mambo ya aibu snMifumo yenu ya utoaji haki haiko balanced, unakuta kada wa CCM anakuwa mtendaji mkuu wa vyombo vya dola, ama kada wa CCM anakuwa Jaji afu anapewa kusimamia kesi ya chama pinzani wa CCM.