Wewe ni taahira fulani vile unaleta uongo wako hapa kama ule wa Polepole.Weka video ya tukio kuthibitisha hilo na siyo blabla zako hapa.Mbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime,..amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara. Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
Mikutano wanaifanya CCM tu, CDM hata ukionekana unasikiliza mziki wako na umevalia sale cha chama,police hawawezi kukuacha salama kawadanganye pale LumumbaMbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime,..amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara. Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
Mura kumbe wewe ndo unatumia hii I.D?Mbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime,..amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara. Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
thaya ngora mura weithoKWA HECHE SIYO RAHISIMbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime,..amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara. Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
Walizomea na kueleza sababu au wewe umetunga sababu?Mbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime,..amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara. Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
Bila picha na video hapa utakuwa unapiga porojo tu kama kawaida yenu vijana wa baba wa kamboMbunge wa Tarime vijijini Johni heche amezomewa akiwa anahutubia wananchi huko nyamongo wilayani Tarime, amezomewa na wananchi katika mkutano wa Hadhara uliofanyika viwanja vya Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara.
Hii ni salam na alama ya kukataliwa kutokana na utendaji usioridhisha Wa Mbunge huyo kijana.
NdiyoKwani aliitisha yeye mkutano hadi waliomzomea wawe watu wake
Hana clip katunga
Ujinga ni mzigo, mkutano wa waziri mkuu, makada wa ccm wanasimamama na kunwambia mda mda mda ndio zomea zomea walivyojiandaa ccm kuifanya
Siasa za uongo uongo kama hizi ndo zinafanya ccm muonekane Wa ovyo kuliko zamani.
Haahaahaahaa CCM bana kweli aliewaroga ashakufa