Baada ya kutokea mauwaji ya mtoto Deus Jacobo,aliyepigwa risasi na askari polisi katka mtaa wa Songambere kata ya Sababa Tarime Mjini siku ya Alhamis tarehe 9.May.2013 majira ya saa nane mchana hatmaye siku ya mazishi ikawadia kama kawaida.
Ikawa ni siku ya Jumamosi majira ya saa sita mchana mh.Heche akafka maeneo hayo akiambatana na wapambe wake kutoka kata moja inayomuunga mkono ikiamini kuwa lazma awe mbunge 2015,mara ratiba ikaanza kusomwa na kuzingatiwa na m.c chini ya uratibu wa wanafamilia ya marehemu,alianza kupewa nafasi mchungaji ili kutoa neno mahala hapo,akafuatiwa na mwenyekiti wa mtaa aliyewashukuru wananchi pamoja na kusikitishwa kwa kuchafuliwa ya kwamba amehongwa na jeshi la polisi ili mwili uzikwe. Aliwaasa wananchi waachane na majungu kwani yeye wanamjua utendaji wake na sio hulka yake kupewa rushwa,aliyefuata alikuwa msemaji wa jeshi la polisi ambaye ni kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rolya, yeye alisisitiza kuwa hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhuska wa mauwaji hayo,na kuwaomba wananchi watulie wawe wavumilvu na wamwamini,aliyefuata alikuwa ni DC alitoa salamu za serikali na rambirambi kwa wafiwa na kulaani kitendo hicho kwa niaba ya serikali.
Ikawa sasa ni nafasi ya diwani wa kata hiyo yeye pamoja na kusifia kazi za kamanda wa polisi kwa jitihada zake kuwarekebisha tabia mapolisi wasio waadirifu pia alitaka hatua zichukuliwe haraka na kusiwe na usiri kwa kumfikisha mtuhumiwa huyo mahakaman sheria ichukue mkondo wake,mwisho ukawadia wakati wa kuaga mwili wa marehemu huku mh.Heche asijue nini la kufanya baada ya kukosa fulsa ya kutumia msiba huo kama jukwaa la kisiasa,huku wapambe wake wakionekana kukerwa na kitendo cha kumnyima nafasi boss wao huyo walianza konong'ona kwanini asipewe nafasi hii ni hujuma tu,baada ya zoezi hilo kuisha nlipata fulsa ya kumhoji mwenykiti wa mtaa ambaye anatokana na chadema niilimwuliza kwanini hakumpatia Heche nafasi kama kiongozi wake wa kitaifa ili aseme machache katika msiba huo?
Mh.Nyanswi akionekana mwenye kujiamini alijibu kuwa kwanza yeye hajahusika na kuandaa ratiba hiyo kwani kulikuwa na kamati maalumu ilyokuwa ikiratibu zoezi hilo na pili yeye hana mda wa kumzungumzia kiongoz asiyetambua majukumu yake kikatiba, kwani pia hakutambua uwepo wa kiongozi huyo mahara hapo kwa sababu hajashirikishwa kichama na mwisho alisema tabia ya kutumia msiba kama jukwaa la kisiasa kwake yeye halina maana kwani kuna mahara rasmi pa kutumia na sio msibani tu.
Baadhi ya watu wanasema huu ni mnyukano wa makundi makuu mawili hasimu kati ya Heche na Mh.waitara hivyo kuna kila dalili kuwa kama kati ya hao wawili mmoja atateuliwa kuwa mgombea ubunge 2015 basi ni wazi jimbo litabaki CCM kwani hakuna kundi litakarounga lingine ili lishinde japo kwa mh.Heche ni dalili mbaya kwani analaumiwa na kundi kubwa la vijana kuwa alihujumu jimbo mwaka 2010 hivyo na yeye akiteuliwa lazma na yeye ale jeuri yake,inabidi CHADEMA makao makuu wachukue tahadhari mapema ili kuhakikisha mahasimu hao wakubwa wanamaliza mgogoro huo vinginevyo ni vigumu sana kurejesha jimbo hilo.
Ikawa ni siku ya Jumamosi majira ya saa sita mchana mh.Heche akafka maeneo hayo akiambatana na wapambe wake kutoka kata moja inayomuunga mkono ikiamini kuwa lazma awe mbunge 2015,mara ratiba ikaanza kusomwa na kuzingatiwa na m.c chini ya uratibu wa wanafamilia ya marehemu,alianza kupewa nafasi mchungaji ili kutoa neno mahala hapo,akafuatiwa na mwenyekiti wa mtaa aliyewashukuru wananchi pamoja na kusikitishwa kwa kuchafuliwa ya kwamba amehongwa na jeshi la polisi ili mwili uzikwe. Aliwaasa wananchi waachane na majungu kwani yeye wanamjua utendaji wake na sio hulka yake kupewa rushwa,aliyefuata alikuwa msemaji wa jeshi la polisi ambaye ni kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rolya, yeye alisisitiza kuwa hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya mhuska wa mauwaji hayo,na kuwaomba wananchi watulie wawe wavumilvu na wamwamini,aliyefuata alikuwa ni DC alitoa salamu za serikali na rambirambi kwa wafiwa na kulaani kitendo hicho kwa niaba ya serikali.
Ikawa sasa ni nafasi ya diwani wa kata hiyo yeye pamoja na kusifia kazi za kamanda wa polisi kwa jitihada zake kuwarekebisha tabia mapolisi wasio waadirifu pia alitaka hatua zichukuliwe haraka na kusiwe na usiri kwa kumfikisha mtuhumiwa huyo mahakaman sheria ichukue mkondo wake,mwisho ukawadia wakati wa kuaga mwili wa marehemu huku mh.Heche asijue nini la kufanya baada ya kukosa fulsa ya kutumia msiba huo kama jukwaa la kisiasa,huku wapambe wake wakionekana kukerwa na kitendo cha kumnyima nafasi boss wao huyo walianza konong'ona kwanini asipewe nafasi hii ni hujuma tu,baada ya zoezi hilo kuisha nlipata fulsa ya kumhoji mwenykiti wa mtaa ambaye anatokana na chadema niilimwuliza kwanini hakumpatia Heche nafasi kama kiongozi wake wa kitaifa ili aseme machache katika msiba huo?
Mh.Nyanswi akionekana mwenye kujiamini alijibu kuwa kwanza yeye hajahusika na kuandaa ratiba hiyo kwani kulikuwa na kamati maalumu ilyokuwa ikiratibu zoezi hilo na pili yeye hana mda wa kumzungumzia kiongoz asiyetambua majukumu yake kikatiba, kwani pia hakutambua uwepo wa kiongozi huyo mahara hapo kwa sababu hajashirikishwa kichama na mwisho alisema tabia ya kutumia msiba kama jukwaa la kisiasa kwake yeye halina maana kwani kuna mahara rasmi pa kutumia na sio msibani tu.
Baadhi ya watu wanasema huu ni mnyukano wa makundi makuu mawili hasimu kati ya Heche na Mh.waitara hivyo kuna kila dalili kuwa kama kati ya hao wawili mmoja atateuliwa kuwa mgombea ubunge 2015 basi ni wazi jimbo litabaki CCM kwani hakuna kundi litakarounga lingine ili lishinde japo kwa mh.Heche ni dalili mbaya kwani analaumiwa na kundi kubwa la vijana kuwa alihujumu jimbo mwaka 2010 hivyo na yeye akiteuliwa lazma na yeye ale jeuri yake,inabidi CHADEMA makao makuu wachukue tahadhari mapema ili kuhakikisha mahasimu hao wakubwa wanamaliza mgogoro huo vinginevyo ni vigumu sana kurejesha jimbo hilo.