PreGE2025 Heche amvaa Msajili wa Vyama: Huitaji kumtambua Mnyika, sisi CHADEMA tunamtambua

PreGE2025 Heche amvaa Msajili wa Vyama: Huitaji kumtambua Mnyika, sisi CHADEMA tunamtambua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche akiongea na wananchi wa Magumu - Serengeti leo Mei 13 kuhusu suala la Msajili wa vyama vya siasa kutotambua uwepo wa cheo cha John Mnyika katibu Mkuu wa chama hicho.

Pia, Soma: Ofisi ya Msajili yatengua uteuzi wa wajumbe 8 wa sekretarieti na kamati kuu ya CHADEMA walioteuliwa na Tundu Lissu

"Msajili wa Vyama hamesema hamtambua Katibu Mkuu wa Chama chetu, hatambui Wajumbe wa Kamati Kuu wa Chama chetu, mimi nakuambia Msajili, wewe huitaji kumtambua Katibu Mkuu wa Chama chetu sisi CHADEMA tutamtambua Katibu Mkuu wa Chama chetu."

 
Kwa namna hali ilivo CHADEMA wao kwa wao wana mgogoro na ndo maana hata CCM na serikali yake inatumia mwanya huo kuisumbua CHADEMA
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche akiongea na wananchi wa Magumu - Serengeti leo Mei 13 kuhusu suala la Msajili wa vyama vya siasa kutotambua uwepo wa cheo cha John Mnyika katibu Mkuu wa chama hicho.

Pia, Soma: Ofisi ya Msajili yatengua uteuzi wa wajumbe 8 wa sekretarieti na kamati kuu ya CHADEMA walioteuliwa na Tundu Lissu

"Msajili wa Vyama hamesema hamtambua Katibu Mkuu wa Chama chetu, hatambui Wajumbe wa Kamati Kuu wa Chama chetu, mimi nakuambia Msajili, wewe huitaji kumtambua Katibu Mkuu wa Chama chetu sisi CHADEMA tutamtambua Katibu Mkuu wa Chama chetu."

View attachment 3332824
Aiseee kumbe tatizo ni Lissu na siyo CHADEMA
 
Nafikiri ni wakati muafaka wa kumuweka huyu makamu mwenyekiti katika mikono salama kabla hajazidi kutoa kauli zenye viashiria vya uhaini na uvunjifu wa amani
 
Kwa namna hali ilivo CHADEMA wao kwa wao wana mgogoro na ndo maana hata CCM na serikali yake inatumia mwanya huo kuisumbua CHADEMA

...Msajili ana mgogoro na Chadema.

..CCM ina mgogoro na Chadema.
 
Ni bahati mbaya sana kwa nchi yetu na aina ya viongozi tulionao, wasio heshimu demokrasia ndani ya vyama vyao wenyewe na nje ya vyama vyao. Sasa Chama kimoja cha siasa kinaandamwa kutokea kila lona, polisi, bunge, mahakama, msajili wa vyama vya siasa, ni aibu kupindukia.

Na bado kuna mtu ataibuka na kusema nchi inaendeshwa kwa mjibu wa katiba na sheria, duh. Hizi nyumba za ibada na vitabu vitakatifu tunavyotumia, sijui, Mwenyezi Mungu anapata taabu sana na sisi binadamu
 
Msajili apambane na afya yake vvu
 

Attachments

  • IMG-20250513-WA0015.jpg
    IMG-20250513-WA0015.jpg
    8.4 KB · Views: 16
Back
Top Bottom