Heche aitembelea familia ya Nyalusi Iringa

Heche aitembelea familia ya Nyalusi Iringa

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,756
Reaction score
2,646
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameitembelea familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Iringa, Frank Nyalusi aliyefariki Septemba 19, 2025 katika Hospitali ya rufaa ya Iringa alipokuwa akipatiwa matibabu.

Soma: Frank Nyalus afariki dunia

Heche ambaye hakuhudhiria mazishi hayo, amefika Iringa kutembelea familia ya Marehemu Frank Nyalusi na kuweka shada la maua kwenye kaburi lake, katika Mtaa wa Mtatifikolo, Kata ya Mwangata.



 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameitembelea familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Iringa, Frank Nyalusi aliyefariki Septemba 19, 2025 katika Hospitali ya rufaa ya Iringa alipokuwa akipatiwa matibabu.

Soma: Frank Nyalus afariki dunia

Heche ambaye hakuhudhiria mazishi hayo, amefika Iringa kutembelea familia ya Marehemu Frank Nyalusi na kuweka shada la maua kwenye kaburi lake, katika Mtaa wa Mtatifikolo, Kata ya Mwangata.

View attachment 3563376

View attachment 3563377
Polisi hawajamkamata? Maana hawana dogo.
 
Back
Top Bottom