Amosi Asanali
Member
- Oct 9, 2012
- 46
- 5
hawa investors wanaochimba madini hasa kwa hii njia ya uchimbaji ya underground kuna mtu yeyote ambae anawamonitor wchimbe hadi wapi, maana wanaweza kwenda mbali zaidi hapo inakuwje naomba msaada nijue?wakiwa undergound hadi maeneo ambayo mikataba yao hairuhusu.