Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,363
- 34,558
Mchafu kimaadili na matendoMlevi unam-define vipi?
Kimwili pia jasho linavyonuka kipombe pombe siwezi hata kuinjoi nae.
Mchafu kimaadili na matendoMlevi unam-define vipi?
Aaahhh nimekusomaMchafu kimaadili na matendo
Kimwili pia jasho linavyonuka kipombe pombe siwezi hata kuinjoi nae.
😂Jamaniii ❤️mmmh unagive up mapema hvo jaribu bahati yako tafadhali nakuomba kwa moyp wangu wote
Nimependa ulivyonipa moyo nijaribu bahati yanguHyo kopa ina maan gan?
Kuvaa Boxer ya vitenge sio tabia ? Ni aina ya fashion. Au uchumi wake ni hafifu.Hey ladies, leo nimeona tuambiane ni mwanaume mwenye tabia gani huwezi kuwa naye kwenye mahusiano?
Binafsi siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume anayevaa boxer ya kitenge au mvuta sigara
OkayOky do it
Tuna takiwa tueshim uhuru wa mtu wa mtu mmoja mmojaHauvuti sigara lakin unapenda harufu yake ndo maan
Kbsaa
Vp na ww una ngongingoKbsaa
unatabia mbaya ww
Sawa nimekusamehe sweetieNisamehe ila sikuwa na namn kwa kweli
Hey ladies, leo nimeona tuambiane ni mwanaume mwenye tabia gani huwezi kuwa naye kwenye mahusiano?
Binafsi siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume anayevaa boxer ya kitenge au mvuta sigara