Hebu soma kisha toa maoni kwa serikali yako


Kwa hiyo ilani ya chama tawala ilitengenezwa kutokufuata utaratibu,ujinga uliopitiliza huo,mtu anafanya ujinga kwa kuwaumiza watu halafu unataka kutetea
 
Time will tell whether you right or not...off cause we are waiting to see Tanzazibabwe economy situations in few years, to come....
 
Kujenga uchumi wa kati siyo lele mama,Tunahitaji kujua tuko wapi na tunaenda wapi?Weka siasa pembeni,acha kufikiria mpizani kama ndiye kikwazo cha maendeleo,Acha kufikiria aliyeko madarakani ndiye anastahili kufanya hiki na kile.Kujenga uchumi hakuhitaji maneno ya nini kifanyike na kipi kisifanyike.Taifa linapaswa kuwa na Dira sahihi ya maendeleo.Ndani ya Dira hiyo kuwe na vipau mbele mahususi vya kutufikisha kule tuendako.Siyo fikra za mtu mmoja aliyepewa dhamana wala siyo fikra za chama fulani.Ni mkakakati endelevu wa kitaifa wenye dhamira thabiti ya kufika pale tulipokusudia.Haya madogo madogo ya kuziba nyufa ,kuweka viraka yapewe nafasi pale uelekeo wa kule tuendako umeonekana.Maneno mengi sana na petty issues ni kuondokana nayo.Tuache kujihami kuwepo madarakani miaka kumi isiyo na tija !Tanzania sisi siyo kisiwa tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa waliokwisha kupiga hatua.Tusiwe wagumu wa kusikia ushauri kutoka kwa waliofanikiwa.Tujikite pia kukubali misaada kujijenga zaidi kuliko kuelekeza lawama kwa wahisani kwamba kushindwa kwetu wao ndiyo sababu,Tuepuke visingizio na kuwa watu wa kulaumu.Tumejaa lawama na kujitia kuwa tunaweza hata bila misaada.Si kweli !Kumbuka historia ya nchi zilizoendelea ukiachilia mbali nchi za Kikomunisti zote zimepata maendeleo yao kutoka katika utegemzi.Kama siyo ukoloni mkongwe basi ukoloni mamboleo -huo ni utegemezi pia.
 
Shukrani sana kwa uchambuzi wako murua
 
Nadharia ya hoja yangu haipo kwenye ushauri bali maoni tu, unayo fursa ya kufikiri kinyume
 
Tulipo maliza season ya bombadia,,,sasa hivi tuko kwenye season mpya inaitwa faru john,,!na tuko epsod 4,ambapo kaburi lake imesadikika kuwa halipo,tusubiri epsod ya 5,tujue nani mkweli kati director na waigizaji...!!tutafika tu 2020,,!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…