Hebu semeni kitu kwa ntu nke....!

kabanga

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
37,191
18,457
1444358_Bear76963199054366_136390380_n_jpg7ea00a6fc6b4288d0a2905da5866ccff.jpg
 
Mbona sielewi, yaani anapiga mswaki kwa kutumia bia? Au mcho yangu hayaoni vizuri? Majanga.

Tiba
 
Mbona sielewi, yaani anapiga mswaki kwa kutumia bia? Au mcho yangu hayaoni vizuri? Majanga.

Tiba

Ndiyo, Lakini hii inaelekea kama ni Zambia au Malawi vile. (Ndio zao hizi)
 
Je hii ni dhiki ya maji au kwasababu yupo adicted na hiyo kitu a.k.a biiiiieeeereeeeeee
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom