Hebu nitoeni ushamba kwa hili

Hebu nitoeni ushamba kwa hili

Lipa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2014
Posts
229
Reaction score
28
Nimekua nikiona watu wanavaa ''PETE zaidi ya moja VIDOLE vya mikononi na baadhi VYA MIGUUNI'' wengine huvaa hata mbilimbili...mimi nilidhani kila pete ina inamaanisha ina mtu wake....nielimisheni tafahali....
 
wengine wanava bira kujua mana wengine wanava kwamana kubwa san kujua man nicheck im box
 
Nimekua nikiona watu wanavaa ''PETE zaidi ya moja VIDOLE vya mikononi na baadhi VYA MIGUUNI'' wengine huvaa hata mbilimbili...mimi nilidhani kila pete ina inamaanisha ina mtu wake....nielimisheni tafahali....
ni ushetani tuu umewakolea kwa kusafishwa njia zao zote mbili vipi na wewe unataka?
 
Unaulizia zipi? Aana kuna za ndoa
Kuna yale makubwa hasa wanaume wanapenda hizo za kishetani na zinakuwa na masharti ya waganga bt wapo wamaovaa kwa ajili ya urembo tu
 
wengi wanavaa kwa ajili ya urembo ila wengine wanavaa mengi au ambayo hawaendani nayo hadi yanakuwa si urembo tena
 
Back
Top Bottom