Hebu nipeni ushauri wanajamvi


yeye anajua tumesahau kumbe kuna vichwa humu
 
Yan ww c mzma, umekutana na mdada wa jf mmefanya hayo yote then unayaleta tena humu.
Akiiona hii thread unadhani atakuwa na hamu na ww tena.
Inaonyesha ni jinsi gani ulivyomlopokaji.!!

Amemdhalilisha saana saana. Na majibu anayotoa hana hata guilt Conscious!
 
Ulimtamani haukumpenda,..
Mkipewa papuchi kwa haraka mwasema haaminiki mukicheleweshewa anaringa khaa..
Mdada wa watu kajitolea wee lakini ndo hivyo haumuamini,
mbona yeye kakuamini bila kuzingatia huo umbali wenu?
...

Cjui wafanyiwage nini hawa watu khaaa eti cmwamini koz kanipa papuch haraka angechukua mwaka ungesema ooo kuna washkaji wanansaidia hvi nyie viumbe mnawendawazimu eeee
 

Afu anajidai eti alimpenda nyooo unajua maana yakumpenda mtu wewe dogo eeee.afu nahisi huyu ni dogo wa secondary amekula ada sasa shule zimefunguliwa ajarudi kilichobaki uzinzi koz a matured man cant be as silly and stupid as you.shame on you.rudi kwa mshua kamweleze umekula ada akupe urudi shule khaaa
 
ondoa uvulana wako humu .............

km siyo Ban ningekushushia matusi mazito mazito humu...............
 
sikuwa na malengo naye nilitaka kupiga na kusepa. Kuwa mke anasifa zote na ni mzuri kweli ila sina iman nayeye kama ni mwaminiifu au ni kicheche
kwa hiyo wewe sio kicheche kwa tabia zako hizo, ulipovua boxer yako ulikuwa unajua unamwabudu Mungu
 
unaogopa nini hasa?mbona ulisema unampendaaa?unaagiza chakula halfu unaoagopa kukila?ulitaka nini hasa kwake ulipomwita mpaka akakufuata huko,inavyo onekana na wewe hujui unachotaka kwa huyo binti,kaa chini ujitafakari na uchukue hatua...
 

hahahaaaa!! Sasa hvi anawaza ataipata wapi hyo ada aliyo kula
 
Huyu atakua chini ya miaka 18 hii akili ya kitoto kabisaaa

ni Pm namba yako uone kama npo chini ya 18. Utakimbia na pichu mkononi pambafffffffff
 
Jamani kumbe kuna watu wanaabuse akili za watu yaani hapa mtu unawezajikuta unajipinda ukitafuta na vitabu vya reference utoe ushauri kumbe............aksante watu8. Haya kaa nae chini umwambie kuwa bado ni mapema sana kuwahusisha wazazi, kama anakupenda kweli atakuelewa na kusubiri lakini kama anakimbilia ndoa tu utamjua
 
Last edited by a moderator:
unaogopa nini hasa?mbona ulisema unampendaaa?unaagiza chakula halfu unaoagopa kukila?ulitaka nini hasa kwake ulipomwita mpaka akakufuata huko,inavyo onekana na wewe hujui unachotaka kwa huyo binti,kaa chini ujitafakari na uchukue hatua...

kijana siwez kufanya papara kias ambavyo mnataka nyie
 
Nmegundua kitu kuwa ndio maana ndoa nyingi haziishi migogoro na nyingi zinavunjika tatzo wanaume tunakurupuka sana. Yaani mwanamke akikuvulia nguo tayar anafaa kumweka ndan kuwa mke looh!! Je, akiwa changudoa?!
 
ufanye papara mara ngapi mbona ulshafanya sana,kama siyo papara unakutana na msichana online halafu unamwalika halafu unafanya ulichofanya halafu unasemasiyo papara?acha kujibaruguza wewe,acha kuleta mambo ya utoto kwenye mitandoo kama kama hii....hujakua bado....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…