akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,767
- 1,155
Inaonekana mtamu sana wewe ndio maana jamaa anashidwa kukuacha, utamu unatofautiana ujue...!!sijajiona mjanja. simuelewi anachotaka. kwani amefikia hatua ya kunifwatilia nyendo zangu hadi kuchunguza simu zangu nawasiliana na nani. nami nimemwambia siwezi kuwa nae mpaka atakapoufanya maamuzi
Kwanza shikamooni/marahabaa
Mie ndo mara ya kwanza kupost mada humu jamvini, yamenikuta. Kuna kijana nampenda mnooo na yeye anajua hilo, hapo mwanzo tulikuwa wapenzi lakini kwa sababu zisizozuilika tukaachana tukaja onana tena miezi miwili imepita anasema ananipenda bado lakini ana mtu ambaye amempromise kumuoa .
Kwa mantiki hiyo basi anaugulia tuu hata usiku wa manane msg zatumwa na nini na nini lakini anasema hatuwezi kuwa pamoja. Akinipigia simu ananambia nampa shida. Anataka kumuacha huyo msichana lakini hajamkosea kitu anaogopa kumuumiza, ila yeye anaumia kwa kuwa hatupo wote.
Sasa nauliza kwanini mapenzi yakoje, kuumiza mtu au kujiumiza mwenyewe. Kwanini apate shida while he is the decision maker?
Kuna kitu adimu ulimpa na hakipati vizuri kwa aliye naye
tumeongea sana. ila tatizo alishajitambulisha kwa wazazi wa mwanamke na kuahidi kwenda kutoa mahari. na mwanamke ametishia kujiua mara tatu kila akimwambia anamuacha, na mbaya zaidi mwanamke kahamia kwa jamaa.
sijajisifia nimesema hivi "anasema ananipenda"
kitu adimu???????
huwezi amini but simu anawapa namba rafiki zake wa mobile networks wacheck call details. na nyendo zangu huwa ananiambia leo umepita hapa hapa pale umesimama na huyu kuongea na huyu..how do i manage that hebu nambie? hatuonani wala kukutana ni kwenye simu tu tunaongea
Ukikua ndipo utakapowajua wanaume!
Wala hatakaa akue, she is a retard! Kama kwa kusoma jf bado hajaelewa wanaume, atakuwa na genes za le mutuz huyu. Hebu endelea kunitongoza mwaya, naomba ufuatilie simu zangu basi.
Hahahahahaaaaa, hapo kwenye red pamenichekesha sana, dah! We mwanamke kauzu kweli!! Hata hivyo baby mimi siyo kama bwana wake na cherylsweet, nikubali basi walau kila akiondoka paw niwe nakuja 'kufukia mashimo' ambayo yeye hakuyaona wakati wa game! Sawa baby??!!Wala hatakaa akue, she is a retard! Kama kwa kusoma jf bado hajaelewa wanaume, atakuwa na genes za le mutuz huyu. Hebu endelea kunitongoza mwaya, naomba ufuatilie simu zangu basi.
sijajisifia nimesema hivi "anasema ananipenda"