Habarini wana Jamvi.
Baada ya salamu hiyo naomba mnitoe wasiwasi kama sio tamaa.
Jamani wanajukwaa,eti ni kweli kuwa wanawake wanene ni watamu kuliko wembamba...binafsi sina uzoefu na hawa wanene,jambo ambalo naona linazidi kunipa hamasa ya kujaribu wanene...je,kuna ladha tofauti au ni mawazo potofu?
Karibuni jamani tuambizane!
Baada ya salamu hiyo naomba mnitoe wasiwasi kama sio tamaa.
Jamani wanajukwaa,eti ni kweli kuwa wanawake wanene ni watamu kuliko wembamba...binafsi sina uzoefu na hawa wanene,jambo ambalo naona linazidi kunipa hamasa ya kujaribu wanene...je,kuna ladha tofauti au ni mawazo potofu?
Karibuni jamani tuambizane!