Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Watu kadhaa wanahofiwa kukwama baada ya maporomoko ya udongo kutokea karibu na mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown.
Eneo moja la milima liliporomoka mapema leo Jumatatu kufuatia mvua kubwa, na kusababisha nyumba nyingi kufukiwa kwa mjibu wa mwandishi wa habari wa BBC Umaru Fofana
Mwandishi wa habari aliye eneo hilo anasema kuwa watu wemgi walipatwa wakiwa bado wamelala wakati maporomoko yalitokea
Maafisa wanasema kuwa ni mapema sana kutoa idadi ya watu waliouawa
Watu wamesambaza picha za uharibifu uliotokea kwenye mtandao wa twitter ya za mafuriko ndani nanje ya mji wa Free town.
======
Dozens of people are feared trapped after a heavy downpour triggered a mudslide in Sierra Leone's capital, Freetown.
Chanzo: BBC