Heavy rain triggers mudslide in Freetown

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
index.jpeg

Watu kadhaa wanahofiwa kukwama baada ya maporomoko ya udongo kutokea karibu na mji mkuu wa Sierra Leone, Freetown.

Eneo moja la milima liliporomoka mapema leo Jumatatu kufuatia mvua kubwa, na kusababisha nyumba nyingi kufukiwa kwa mjibu wa mwandishi wa habari wa BBC Umaru Fofana

Mwandishi wa habari aliye eneo hilo anasema kuwa watu wemgi walipatwa wakiwa bado wamelala wakati maporomoko yalitokea

Maafisa wanasema kuwa ni mapema sana kutoa idadi ya watu waliouawa

Watu wamesambaza picha za uharibifu uliotokea kwenye mtandao wa twitter ya za mafuriko ndani nanje ya mji wa Free town.

======

Dozens of people are feared trapped after a heavy downpour triggered a mudslide in Sierra Leone's capital, Freetown.

Chanzo: BBC
 
Back
Top Bottom