Hakikisha pia unapata choo laini kwa sababu ingine Maumivu ya kichwa hutokana na ukosefu wa kutopata haja kubwa jaribu uwe unakula Mboga za majani mapapai , matunda, ndizi, na vyakula vilaini ili uweze kupata haja kubwa kiwepesi. na hii dawa pia tumia itakusaidia Kwa Matatizo ya mfumo wa usagaji wa chakula tumboni kama vile kutosagika chakula,gesi tumboni,kutapika michango mkazo wa ghafla n.k. Tafuna kipande cha Tangawizi kila mara baada ya chakula.[/QUahsante sana nimetumia kile kitunguu swaum nikaona mabadiliko lakini bado nahisi kama ngoma inapigwa ndani ya kichwa