Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Come on people!Ni kweli kabisa. Wakati Lowasa akisimama mbele ya Bunge na kusema katuma barua ya kujiuzulu wala hiyo barua alikua hajaiandika rasmi. Alicho fanya JK ni "kuaccept" "barua" hiyo na baada ya hapo EL akawa hana chakufanya. Legally EL should still be prime minister kwa maana hakuna ushahidi hiyo barua ilishawahi kutumwa rasmi.
Lowassa was getting too big for his boots.
Lets admit it katika sakata la Richmond he was the fall guy, knowingly or unknowingly.