He is in Love with Kasie's ......

He is in Love with Kasie's ......

Wanaune tukisafiri tunapenda kugonga ngozi mpya! We are not in love with no stranger we met at the hotel....

Wooow .... what a tricky... I was looking for this naked truth..! Thank you very much indeed.
 
hahaaa...kasie una mambo ya ajabuajabu weee...

Hhahahahahaaa Kasie mwenyewe wa ajabu ajabu hehehehheeee, ila hafikii ya binti Rajabu...

Au umeona ajabu lipi la tofauti kwa Kasie?
 
Daby Kaoge na maji ya bahari mwanangu

Hhahahahahhaaaaa,

Ashaoga maji ya Kasie (fountain Katee ree...) yana chumvi asilia ..... haiifikii chumvi ya bahari... na Kasie ashakunywa supu ya motoo itokayo kilele cha mlima wa moto .... hehehehehee nikipanda huo mlima nachapwa bakora za hatari nikishuka hapo adabu na heshima zinanirejea.

Daby and Kasie are here to stay... of-course I love him (Daby)
 
Kasie mapenzi uyo

Wewe ni mapenzi tu kila siku habari za kujenga nchi weee haaaah unamwachia magu na mwanahabar huru

Alafu unaniacha hoi kila siku lazima utuachie ki truck kimoja duuuh

Yeah, umeshamsoma Kasie eeehh....

For Kasie love is everthing....

Nchi inajengwa na wanaume kisha wanawake tunairemba na kuitumia itakiwavyo heheheheee

I love music as music is life, if you like music too endelea kuburudika na lisongi...
 
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Take it easy Daby....



This is for you Dady Daby...

.......we find love right where we are....
 
Hhahahahahhaaaaa,

Ashaoga maji ya Kasie (fountain Katee ree...) yana chumvi asilia ..... haiifikii chumvi ya bahari... na Kasie ashakunywa supu ya motoo itokayo kilele cha mlima wa moto .... hehehehehee nikipanda huo mlima nachapwa bakora za hatari nikishuka hapo adabu na heshima zinanirejea.

Daby and Kasie are here to stay... of-course I love him (Daby)
Danganya toto
 
Danganya toto

hahahahaaaaaaa kula kunde mbichiiiii

Hata maadiko yalisema, aaminiye ameshaokoka, asiye amini ameshahukumiwa..... nanzaje sasa kushawishi mtu aamini.....
Basi, acha ibaki hivohivo hadi mwisho wa dahari as long as I've done my part....
 
hahahahaaaaaaa kula kunde mbichiiiii

Hata maadiko yalisema, aaminiye ameshaokoka, asiye amini ameshahukumiwa..... nanzaje sasa kushawishi mtu aamini.....
Basi, acha ibaki hivohivo hadi mwisho wa dahari as long as I've done my part....
Wewe ruka-ruka weee ukichoka utatulia
 
mzee baba lazima alipewa tunda...mlisindikizana usiku mnene hadi chumban , ? alafu mlitoka club, probably mlikunywa vileo! afu only kiss? what a joke....! all in all kasie napendA machapisho yako regardless ni story za kusadikika au la
 
Wewe ruka-ruka weee ukichoka utatulia

Ntatulia kwa nani? Ntachoka wapi na lini? Hahahahahaaa ukingoja nichoke utasubiri sana... umesahau Kasie ni Mnyamwezi..?? Mizigo mizito anaihimili...
 
mzee baba lazima alipewa tunda...mlisindikizana usiku mnene hadi chumban , ? alafu mlitoka club, probably mlikunywa vileo! afu only kiss? what a joke....! all in all kasie napendA machapisho yako regardless ni story za kusadikika au la

Amini tuu na utaona kuwa ni kweli iliishia kwenye busu tuu.

Nashukuru kufurahia machapisho ya Kasie.. .. ila ni habari za kweli kabisa sio kusadikika.
 
Wewe ruka-ruka weee ukichoka utatulia

Ntatulia wapi? Kwa nani? Umesahau kama Kasie ni Mnyamwezi anayehimili mizigo mizito?

Heheheheheee wewe kama unasubiri nichoke na kutulia pole sana maana utasubiri mnooo hahahahaa, Kasie is a problem.
 
Ntatulia wapi? Kwa nani? Umesahau kama Kasie ni Mnyamwezi anayehimili mizigo mizito?

Heheheheheee wewe kama unasubiri nichoke na kutulia pole sana maana utasubiri mnooo hahahahaa, Kasie is a problem.


Kwa kweli nnachokipenda zaidi kwako ni ile kuwa wewe Kasie, unaishi maisha yako na kuona fahari kwa mambo yako. Utadumu sana
 
Back
Top Bottom