kashuzi critical
New Member
- Sep 7, 2012
- 4
- 0
poleni na kazi wanajamii. Nina rafiki wangu wa karibu sana tangu secondary na sasa hivi tupo chuo. amepata shida hii na ameniomba msaada wa kiakili nkasema niwaambie na nyie ndugu zangu.
alianza mahusiano akiwa kidato cha nne na alikuwa na furaha sana yeye na mwenzi wake. Wakachaguliwa kidato cha tano na wote wakaenda shule moja wakasoma na kufaulu kujiunga na vyuo vikuu ambapo mmoja(bibiye) amenda dar-es-salaam na mvulana kabaki Arusha. wamekuwa katika mapenz mazito kwa miaka minne xaxa ila tangu mwanamama afunge chuo amekuwa haeleweki. Mara anamwambia mvulana waachane mara warudiane na mvulana hana jinsi maaana huyo mwanamama ndo mvulana ametokea mpenda. mbaya zaidi mwanamama hataki kufanya ki2 chechote na mvulana. meeting point lazma iwe public place.
Juzi mvulana kawa mdogo ili atetee penz lake but mschana kawa mgumu kuelewa mpaka muda huu hapokei simu za rafiki angu wala hajibu meseji.. jamani sas ndugu zang huyu jamaa yangu afanyaje maana kumuacha hawezi maana ndo first Love na mwanamama haeleweki..... naombeni msaada wenu jamani.
alianza mahusiano akiwa kidato cha nne na alikuwa na furaha sana yeye na mwenzi wake. Wakachaguliwa kidato cha tano na wote wakaenda shule moja wakasoma na kufaulu kujiunga na vyuo vikuu ambapo mmoja(bibiye) amenda dar-es-salaam na mvulana kabaki Arusha. wamekuwa katika mapenz mazito kwa miaka minne xaxa ila tangu mwanamama afunge chuo amekuwa haeleweki. Mara anamwambia mvulana waachane mara warudiane na mvulana hana jinsi maaana huyo mwanamama ndo mvulana ametokea mpenda. mbaya zaidi mwanamama hataki kufanya ki2 chechote na mvulana. meeting point lazma iwe public place.
Juzi mvulana kawa mdogo ili atetee penz lake but mschana kawa mgumu kuelewa mpaka muda huu hapokei simu za rafiki angu wala hajibu meseji.. jamani sas ndugu zang huyu jamaa yangu afanyaje maana kumuacha hawezi maana ndo first Love na mwanamama haeleweki..... naombeni msaada wenu jamani.