Hdd masaada

Hdd masaada

Wanyamtura

Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
23
Reaction score
1
Wakuu habari za muda huu tena,


Naombeni msaada wadau,

Nina external ya 1TB nime weka data, ila toka week iliyopita nikifungua data hazionekani, nikicheck ukubwa yani disk space used ni 458 MB, na nikscan virus kwa kaspersky 2012 naona inascan folder hambazo hazionekani. Naomba msaada nifanyaje niweze pata data hizo.
 
mkuu ingia kwenye cmd promp then type the following command mkuu.
kwanza select HDD letter yako kama ni D: or E: or any letter of your drive xo
F: enter then type
attrib -s -h /s /d *.* then enter
note kwenye space weka space
then enjoy:becky::becky::becky::becky::becky:
libale kushney
 
mkuu ingia kwenye cmd promp then type the following command mkuu.
kwanza select HDD letter yako kama ni D: or E: or any letter of your drive xo
F: enter then type
attrib -s -h /s /d *.* then enter
note kwenye space weka space
then enjoy:becky::becky::becky::becky::becky:
libale kushney





thanks mkuu, mambo yamekuwa poa kbs
 
Sorry je ikiwa Hdd ina 40gb lakini zinaonekana only 17GB. Inakuwaje?
 
Back
Top Bottom