Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 125
Inasikitisha sana mnapowalazimisha watumishi wa umma watumie online application wakati mtandao wenu unasumbua, hamko online.
Mmeweka namba za simu hazipatikani na ikipatikana haipokelewi, Emails hamjibu sasa ninyi mnafanya nini hapo?
Ikiwa mtu ana shida ya halaka labda anahitaji kukopa bank afanyeje wakati hata simu zenu hazipatikani na Emails hamjibu mnamsaidiaje?
Mmeweka namba za simu hazipatikani na ikipatikana haipokelewi, Emails hamjibu sasa ninyi mnafanya nini hapo?
Ikiwa mtu ana shida ya halaka labda anahitaji kukopa bank afanyeje wakati hata simu zenu hazipatikani na Emails hamjibu mnamsaidiaje?